Wanafunzi 30 wanachama wa 'Al-Shabaab' wasimamishwa

Mkuu, haya ndio madhara ya sera ya shule za kata!
  • Watoto wanakwenda shule kwa lengo la kusoma,
  • Lakini shule hazina walimu wa kuwafanya wafikie lengo lililowapeleka!
  • Hatimaye watoto wanakuwa 'desperate', na ndio chanzo cha kutengeneza vikundi ili kujiweka busy
  • Obvious, wapo wataoingia kwenye vikundi vya maana; lakini mtoto ni mtoto, wengine wataingia kwenye makundi ya uvutaji bangi, n.k.

Inawezekana kabisa kuna baadhi ya hawa vijana wangekuwa na tija zaidi kama wangeenda shule zenye walimu na/au kubaki na wazazi wao pasipo kuwa 'spoiled' kwenye hizi shule za KISIASA!
 
Nimekuelewa mkuu, asante kwa maelezo.
RR, wamejiita hivyo, nikiwa primary kulikua na jamaa wanajiita ANC walisimamishwa pia nadhani hairuhusiwi kuwa na hiz radical mischievous groups, hayo majina ndio waliochagua, ni kama mungiki
 
Wakajiunge na wale wa Ndanda wafungue shule yao!.maana wanazidi ongezeka sasa,mitoto aina hakili ndo maana inafikiria mambo ambayo sio kabisa,tena wangepata na mvua walau mbili toka kwa pilato ingekuwa fundisho kwa nyambafu wengine

acha izo hao ndo majembe yenyewe na kama wangekuwa na mabomu wangemlipua tu uyo ticha kwani kazidi unoko sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…