BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Kwa mujibu wa taarifa ya Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), kati ya Watahiniwa hao, 543,386 ni Wanafunzi wa Shule ambapo Wavulana ni 250,237 (46.05%) na Wasichana ni 293,149 (53.95%)
Watainiwa ambao ni Wanafunzi wa Shule wenye Mahitaji Maalum ni 614 ambapo 283 ni wana Uoni Hafifu, 24 ni Hawaoni Kabisa, 135 wana Ulemavu wa Kusikia, 11 wana Matatizo ya Mfumo wa Akili na 161 ni wana Ulemavu wa Viungo vya Mwili.
Kwa upande wa Watahiniwa wa Kujitegemea ni 28,952 ambapo Wavulana ni 11,867 (40.99%) na Wasichana ni 17,085 (59.01%). Idadi ya Shule zinazofanya Mtihani ni 5,371 na Vituo vya Watahiniwa wa kujitegemea ni 1,798
Idadi ya Watahiniwa wa Shule ina ongezeko la 1.61% kutoka Idadi ya Wanafunzi 534,753 waliosajiliwa kufanya Mtihani huo mwaka 2022.
Watainiwa ambao ni Wanafunzi wa Shule wenye Mahitaji Maalum ni 614 ambapo 283 ni wana Uoni Hafifu, 24 ni Hawaoni Kabisa, 135 wana Ulemavu wa Kusikia, 11 wana Matatizo ya Mfumo wa Akili na 161 ni wana Ulemavu wa Viungo vya Mwili.
Kwa upande wa Watahiniwa wa Kujitegemea ni 28,952 ambapo Wavulana ni 11,867 (40.99%) na Wasichana ni 17,085 (59.01%). Idadi ya Shule zinazofanya Mtihani ni 5,371 na Vituo vya Watahiniwa wa kujitegemea ni 1,798
Idadi ya Watahiniwa wa Shule ina ongezeko la 1.61% kutoka Idadi ya Wanafunzi 534,753 waliosajiliwa kufanya Mtihani huo mwaka 2022.