Wanafunzi 8 wa chuo jinsia tofauti wakutwa guest chumba kimoja

sioni kosa lao. Kama ni kulala wengi aliyewaruhusu ndio mwenye kosa.
 
kawaida ye2 wanafunz chuon kudiscus ata 50 chumba kimoja! Ila kesi hii tofaut kaka! Au ujachek mada juu? Wanafunz wa chuo kipo sinza wamekamatwa dodoma! Ata kama ni diskashen! Wapi na wapi
 
walikua group discussion. Labda chuoni hamna umeme
hahahaha ni kama unasema mtu kabanwa haja kubwa kibaha,kakosa choo kaenda kutafta joo ubungo. . Wakat ata kibamba angeenda kutafta cho
 
Sasa hao si watu wazima, polisi nao bana kukatisha tu starehe za watu.

Eti bwana kwani kosa ni nini hapo? Kukutwa wakiwa 8 na jinsia tofauti kwenye chumba kimoja? Chuo chao kilifungwa kama siku 6 zilizopita, nafikiri pamoja na mambo mengine, walikuwa wanajaribu kufanya savings.

Tiba
 
sasa nao hao hii ni habari, shigongo tataandika nini sasa?
 
kawaida ye2 wanafunz chuon kudiscus ata 50 chumba kimoja! Ila kesi hii tofaut kaka! Au ujachek mada juu? Wanafunz wa chuo kipo sinza wamekamatwa dodoma! Ata kama ni diskashen! Wapi na wapi

Ningefikiri ilikuwa ni discussion kwani mitihani ilitarajiwa kuanza kwenye wiki ya pili ya mwezi wa 8 mpaka tarehe 2 September, lakini kutokana na walimu kugoma, chuo kilifungwa na haijajulikana kitafunguliwa lini. Wanafunzi lazima waaendelee kujifua na polisi wamekimbilia kuwashuku vibaya unless wanaushahidi kwamba walikuwa mle kwa ajili ya ngono. Nashangaa wengine wanawashangaa kwamba ilikuwaje? Hivi nyie hamkupita vyuoni? Hamkuwahi kufanya group discussion vyumbani?

Tiba
 
Ungezungumzia kwa hoja nyingine ningekuunga mkono, lkn hili unalosema si kosa lao ni la mwenye nyumba ya wageni, ameruhusu vipi yote na akaikosesha Serikali mapato? Na pia swali la ziada je chumba cha watu wawili akipanga mtu mmoja itakuwa kosa, hebu askari wetu warudi shule.
 
  • walichofanya polisi ni sawa ila wakakamate wahalifu ambao ni wasumbufu zaidi kwa jamii kama vibaka, majambazi nk...
  • hilo gazeti litafute habari muhimu kwa maendeleo ya jamii aina hiyo ya matukio yanafaa kwa magazeti ya udaku kama ijumaa, kiu etc
 


Hilo gazeti nalo **** tu...Mbona hapo mie sioni tatizo? Sheria kwani inasemaje ya nchi? Hivi hamna wanasheria kula hela za jeshi la police? kesi za kushinda ndo hizo.....kawadhalilisha wanafunzi hao...
 
Mimi sioni tatizo hapo. Nadhani hata wazazi hawatakuwa wakali kwani ukisikia binti yako kakutwa guest na jamaa wakiwa wawili tu lazima una conclude. Lakini wanafunzi nane mi naona kuna usalama zaidi. Hapo waliamua kuishi kigeto geto tu ili kusave. Tena inaonyesha kuwa walikuwa real guests sio wale short time maana they were all the way from DSM.
 
Sasa hao si watu wazima, polisi nao bana kukatisha tu starehe za watu.

Hizi ndo kazi ambazo polisi wa Tanzania wanaziweza....za kufumania, kukimbiza wezi wakapotelea mahali pasipojulikana..... Lakini kulinda usalama wa raia zero
 
Je, mwenye gest huyu anayepangisha watu 8 chumba kimoja amekamatwa au akatoa rushwa akachiwa?Wanastaili wachukuliwe hatua za kisheria pande zote mbili wapangaji hao na mpangishaji.Hiki kitabia kinatoka wapi?Tafadhali wanajf mlio Dom karibu na Polisi tunaomba mtufahamishe majina na ukweli wa jambo hili.
 
Du! hilo balaa ila polc wangewaacha2 jamaa waendelee kufanya majambozi!
 
mmh.. mambo mengine jamani; wanaume watano na wanawake watatu, wanatoka chuo kimoja na wako chumba kimoja. Well.. whats wrong with that? Kama walikuwa wameamua kupiga soga pamoja hadfi usiku wa manane? ngoja mshangae kumbe wengine walikuwa na vyumba vyao hapo hapo hotelini lakini walikuwa kwenye chumba cha mmoja/ baadhi yao wakipiga soga na kupanga mikakati hadi polisi walipoingilia kati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…