WANAFUNZI AMBAO TUNA MPANGO WA KUVUTA WIKI NYINGINE MBELE TUKUTANE HAPA.

WANAFUNZI AMBAO TUNA MPANGO WA KUVUTA WIKI NYINGINE MBELE TUKUTANE HAPA.

Tofauti yenu mwanafunzi na sisi walimu ni kuwa, sisi walimu tumewamiss sana vijana wetu....Week mbili zimeonekana kama miezi 3
 
Tofauti yenu mwanafunzi na sisi walimu ni kuwa, sisi walimu tumewamiss sana vijana wetu....Week mbili zimeonekana kama miezi 3
Shule zingine tumefunga wiki moja yani hapo walimu ndio mnapo fail!!
 
Na log off jamani

Mwz 12 natumai tutakuwa pamoja tena.
 
Kumbe kuna wanafunzi humu...ndo maana mada za kitoto haziishi humu zikiongozwa na Zero IQ.
 
Mwanangu acha hiyo tabia haraka kesho nenda shule na usichezee masomo kabisa!
Tazama mimi babako natafuta pesa kwa shida nakesha usiku kucha nalinda nyumbani kwa muhindi huku wenyewe wamelala ndani wanat.ombana mpaka wakati mwingine naishia kuwapiga chabo na uzee wangu huu.!
Soma kwa bidii acha mchezo usije ukaishia maisha kama ya mimi babako!
Kwanza hiyo week utakayokaa nyumbani utafanya nini cha maana zaidi ya kupiga nyeto tu.!
Pu.mbav nenda shule.
Mkuu we ni msheeeeeeenz.
 
Mwanangu acha hiyo tabia haraka kesho nenda shule na usichezee masomo kabisa!
Tazama mimi babako natafuta pesa kwa shida nakesha usiku kucha nalinda nyumbani kwa muhindi huku wenyewe wamelala ndani wanat.ombana mpaka wakati mwingine naishia kuwapiga chabo na uzee wangu huu.!
Soma kwa bidii acha mchezo usije ukaishia maisha kama ya mimi babako!
Kwanza hiyo week utakayokaa nyumbani utafanya nini cha maana zaidi ya kupiga nyeto tu.!
Pu.mbav nenda shule.
Dingi umetisha..mwanao kakuelewa...
 
Back
Top Bottom