Anna Deo
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 598
- 407
Kwa hiyo, je hii habari ya udaku? Au niamini Nipashe ni kama Sani, Ijumaa n.k
naona nipashe imeanza udaku,nilikuwepo chuoni sijaona hayo maandamano..nimeuliza watu wengine wanadai halikuwa tangazo ila makala za wanaharakati na hakuna aliyeandamana.Katika nchi hii kuna vitu vingi vya msingi vya kuandika kwenye magazeti lakini sio minor thngs tena vya kukuzwa kama hiki.ts nonesence kwa gazeti kama nipashe!!!!