Wanafunzi Chuo Kikuu wabakwa, walawitiwa

Wanafunzi Chuo Kikuu wabakwa, walawitiwa

Jambazi akikukuta hivi lazima afikirie kubaka badala ya kusanya mshiko;
536502_301884099904756_1521949229_n.jpg
 
Napendekeza JKT irudi haraka! Wanafunzi gani hawa wa chuo hawezi kujiorganize wanachezewa hivi?
 
Kweli Wanafunzi ni laini kweli hadi Wanaume; kama Wangepitia JKT ungeona Ukakamavu wao Wanawake Kuvamiwa au Wanaume kuvuliwa Suruali na kulawitiwa? Inaoyesha Uimara Umeisha yaani watoto ni Mayai na Chips

Tulikuwa tunabandikwa Ugali na Maharagwe; Saa nyingine Mpaka tulipwe ndio tunakwenda kwenye Restaurant zinaongozwa na Wake wa Makamanda unapata CHAI na MAANDAZI unajisikia kweli hapo ndio unaweza kupata Date

Hiyo ndio ilikuwa Mara yangu ya kwanza Nje ya Nyumbani na Mimi labda ningekuwa Mayai; Lakini Jeshi liliniimarisha, nilikuwa nikatwe bogi niende kambi ya kuua nikacheza mpira yaani masaa 9 nikachaguliwa timu ya Kambi.

You fight for survival for your Life; Angalia Sasa yaani Maisha ni Kugombania na JKT imenisaidia haswa --- THANKS JK NYERERE AND JKT
 
poleni sana,nauma sana.
Hao ni CHADEMA TU.
WANASAPOTI SANA USHOGA HAO.
 
Ugumu mwingine haufai maana chuo kinakuwaje hakina walinzi? je Mkurugenzi wa chuo hicho anauelewa wa kutosha juu ya usalama? maana asije akawa anataka kuvuna pesa na hataki kuweka ulinzi kwa wanafunzi. Naona si vizuri kutegemea polisi kwanza ni wachache na mji wa Dodoma una wizi sana na doria hazitoweza kuondoa uhalifu bali kuwa na mabweni yenye walinzi wenye silaha na wale wanaokaa nje wawe ni juu yao juu ya usalama wao na si kuweka uzio kama baadhi ya wanafunzi wanavyodhani. Uwekezaji kabla ya faida unahitajika na kuanza/kutaka kuvuna kabla ya kuwekeza ni ujuha
na wizi wa mali na haki ya umma na hii ndo jadi ya viongozi wazembe/viongozi wezi/viongozi wababaishaji/viongozi wehu/viongozi mizigo/viongozi safari/viongozi wasio na misimamo katika maamuzi yao/nk
Nashauri Mkurugenzi awajibike kwa kutokujali usalama wa wateja wake na ikiwezekana afukuzwe kazi maana ni aibu kwa chuo cha kanisa kupatwa na kadhia hii
 
Napendekeza JKT irudi haraka! Wanafunzi gani hawa wa chuo hawezi kujiorganize wanachezewa hivi?

afadhali JKT irudishwe kuwanyoosha watembea uchi kama huyo malaya hapo juu.
 
kumbe hata kamcheko kapo kanazd kupanda kas hapa tz na IFM TENA
 
ni upuuzi tu wa tcu na uongozi wa chuo kwa sababu hauezi admit wanafunzi elfu 2 kwenye chuo kisichoweza kuaccomodate such number of admited, ndo maana wanakaa mitaani kunakokosa safety. Serikari na wizara ya fedha nao hawafikirii those outcomes c wana eneo near msata bgamoyo wakajenge ifm yao pale wabaki wanafunz wa mastaz watakaowamudu.
 
Hapo kwenye hilo la kubakwa....kwanini wabakwe?,siyo ksbb ya nguo fupi na fashion zao za siku hizi za kutopiga underwear hivyo kutengeneza mazingira ya dhahiri kabisa? mana'ke wanafunzi wa siku hizi wa Higher Learning Institution wamezidi.

Kilaza......
 
Back
Top Bottom