Wanafunzi form 4 wagomea mtihani feki!polisi wapiga mabomu

Wanafunzi form 4 wagomea mtihani feki!polisi wapiga mabomu

BONGOLALA

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2009
Posts
16,508
Reaction score
11,897
elimu ya tanzania sasa yawa ya kitapeli!waliwatapeli watoto wa kibaha sasa watoto wa vijibweni kigamboni!wanafunzi wamepewa mitihani maths na civics ambayo ilishafanywa arusha huku ikiwa na mapitio ya pencil ya kuwa ilishafanyika.wanafunzi walilipa sh 12000 badala ya sh 7000 za halali kwa mkoa wa dsm!source nipashe
 
Sio hao peke ya yao waliofanya paper feki hata kituo kimoja binafsi huko maeneo ya Sinza kinaitwa Tanganyika nacho ni wizi mtupu.
 
Back
Top Bottom