Wanafunzi kadhaa wa mwaka wa tano udaktari (medicine) Muhimbili University wamekuwa discontinued

Wanafunzi kadhaa wa mwaka wa tano udaktari (medicine) Muhimbili University wamekuwa discontinued

Na wao hao wanafunzi kwa nini hawaku-submit hiyo report? Sheria ya chuo inasemaje kuhusu hili?
Ni sawa kabisa we unashindwajwe kusubmit ambayo umekaa nayo mwaka mzima haya matoto ya siku hizi hovyo kabisa hapa karim hana shida msimuonee hata kama ana mapungufu yake
 
Basically Katika Elimu yetu Tunahitaji strictness!! Juzi Tumewafaulisha Wanafunzi wasojua Kusoma wala Kuandika ikawa Nongwa!! Sasa Kwa Hawa Madaktari wakija kuua watu Itakuwaje? Elimu Isiwekewe Siasa Jamani!! Shime Shime!!
 
Mkuu moto2012, ni kwamba elective hufanywa mwaka wa nne(katika likizo ya kumaliza mwaka) na wanafunzi hupewa mwaka mzima hadi kusubmit...i understand kuna ugumu fulani wa Supervisors hata wakati ule tulipokuwa pale Muh2 yalikuwa yanatokea... ni ngumu kuwa discontinue wanafunzi wa mwaka wa mwisho tena ambao wamefaulu in all academic grounds ila inapokuja suala la utovu wa nidhamu kwani MUHAS School board ilitoa plead several times but hakuna mwanafunzi aliyeeleza tatizo(lililomfanya kushindwa kukamilisha elective ndani ya mwaka mzima).. lakini kuna ugumu ktk ufuatiliaji since MUHAS hakuna uongozi wa Serikali ya wanafunzi ulivunjwa na chuo kwa amri ya Serikali G "8.0.0".

But i can feel the pain ya 5yrs, poleni wakuu.
 
Shida ya lecturers wana stress nyingi za maisha hivyo huzihamiashia kwa wanafunzi, kwa nini wasipewe second chance
Mimi sipati picha gharama serikali iliyo tumia kuwasomesha hadi mwaka wa tano halafu wanadisco kirahisi, hapo hapo unasikia hapa nchini kuna uhaba wa madktari.
Mimi nashauri wapeleke hili shauri lao mahakamani.
 
Ww mtoa mada lazma utakuwa ni mmoja wa wahanga, huyo semeni nyerere huwa anashinda kule tanuru la fikra fesibuku nitamshauri kule cha kufanya then atawaambia nanyi.

Kumbe ndo yule wa tanuru la fikra,...pole yake
 
Uyu Dogo Semeni Nyerere ni kama analala na kushinda Facebook!mnazi sana wa Chelsea...dogo utafikili kazaliwa Stamford Bridge!...yupo SPORTS XTRA YA CLOUDS FM!!Nampa pole sana
 
Hili suala mmelicomplicate kulileta huku. Sometime msiwe wakurupukaji wa mambo, yawezekana mnahisi kumewa lakini mlivunja sheria za chuo. Mwaka mzima? Mbona wengine walishakusanya? Chanzo changu cha habari kinaniambia mliambiwa mkusanye na muandike maelezo kwani manji aliamua kuwatetea, ili senate iwakubali. Sasa nyie mmekimbilia jf, mods ndo watawatetea? Nimeambiwa manji alisema hatawapa barua za kudisco ili kupunguza makali sasa tarajieni kupewa hizo barua ndo muanze kukata rufaa. Siyo kila kitu cha kuleta huku, mnaponzana wenyewe. Kuna watu walidisco coet kwa makosa ya second year!
 
Si viuzuri kuweka majina yao hapa. Hata hivyo naelewa concern yako katika hili. Mambo haya yapo kila mahali, na hawa wanaochukua maamuzi kama haya bila kufikiria mara mbili hawafai kuwapo katika uongozi wa taasisi yoyote ile ile.
Kuna dogo mmoja kasoma Ualimu miaka 2 akafaulu vizuri masomo yote kwa kiwango cha kati ya B na A. Lakini akashindwa somo moja tu la Ualimu wakamtosa bila kumpa nafasi nyingine. Hii inahitaji watu kukaa chini na kuchukua uamuzi makini, watu wapewe second chance kwani miaka mitano ni mingi sana. Hata wanafunzi mnaoshinda humu muwe makini kuangalia jinsi ya kusoma kwani kama somo fulani ni muhimu ni vizuri ukaliwekea mkazo kuliko masomo mengine.

Second chance wapewe wote siyoo madaktari. Hivi kule chumba cha operesheni wanaweza kutoa second chance kwa aliyekufa? Acheni utani bwana. hao warudi nyumbani wakakazane na kilimo kwanza.
 
Mkongwe kama wewe ni aibu kujidhalilisha humu Jamvini.
Hata mimi nimemwambia aangalie ile list halafu aseme wapi ni wengi kwa mtazamo wake finyu! Amenisikitisha kwa kuwa na mtazamo wa udini hivi, halafu analalamika ametukanwa!
 
Second chance wapewe wote siyoo madaktari. Hivi kule chumba cha operesheni wanaweza kutoa second chance kwa aliyekufa? Acheni utani bwana. hao warudi nyumbani wakakazane na kilimo kwanza.
Kama hawakufuata sheria na utaratibu wa chuo ni lazima wa disco, kwani watu wangapi wamesha disco mwaka wa mwisho, hawatakuwa wakwanza wala wa mwisho! Ukiwa mwanafunzi soma na fata taratibu, ukishindwa ndio kufeli kwenyewe, yaani wazembe wabebebwe kisa ni final year, huo ni upuuzi!
 
nini kilichowafanya wanafunzi hawa washindwe kusubmit elective report ikiwa wengine wamefanya hivyo?
 
mhh ndugu yangu uliyepost humu ndani nadhani kwa kuwastahi wahusika hakukuwepo na sababu yeyote ya wewe kubandika majina yao pengine bila ridhaa yao humu kwenye mitandao ya kijamii

hujawatendea haki wahusika. Ungetuambia tu idadi ya wanafunzi na sababu za wao kudisco na msg ingefika.

Turudi kwenye ishu ya msingi: je sababu za kudisco hawa wanafunzi zinajitosheleza katika sheria na common sense?

Je hakukuwepo na utaratibu mwingine bora wa kimaamuzi wenye good outcome and low negative implication?

Je vp pesa na gharama ikiwemo muda uliotumika kuwasomesha hawa vijana hadi hapo walipofika hatuoni kwamba kumiss wataalamu 5 kwa sababu tu hawajasubmit elective report ni dhana dhaifu katika utaratibu wetu wa maamuzi?

Je hata kama sheria zilizotungwa hatuoni kwamba zinatufanya tuwe watumwa na kukosa kutumia hekima na busara kwenye mambo yanayohitaji kutumia common sense?

Je chuo kinajenga taswira gani katika haya kwa wanafunzi na jamii kwa ujumla?
 
Waende Cuba au Uturuki wakasome hiyo hiyo MD....wakirudi watakuwa poa tu, mbona wapo wengi tu akina....wengine ni mawaziri siwezi kuwataja!
 
Ndugu uliyepost habari hii umekosea sana. kwanza ujafatilia habari kwa kina yaani haujui kinachoendelea yaani umekulupuka. pili umewachafulia majina watu kwa kwa kueneza habari kuwa wamedisco wakati haujafatilia habari kwa kina. tatu inakichafua chuo kwa kukulupuka
 
Aliye weka majina kakosea na lingine kakulupuka bila ya kujua undani wa swala lenyewe\
 
Hii freedom sasa imezidi:
1.Huwezi ku-post majina kiholela namna hiyo
2.Hujui chanzo ni nini hadi kupewa barua za kuwa discontinued ni nini
3.Ume post thread yako kishabiki na kwa kuficha ukweli(Either kwa kujua ili kupata public sympathy au kwa kutokujua na hivyo kukurupuka)
4.Hujui idadi halisi ni ipi(Umesema wako 10) lakini umeweka majina ya watu tisa(ambayo hayakutakiwa kuwepo)...Kwani kutaja majina hakuongezi chochote katika thread yako..kama wewe ndiye wa kumi kwanini hujitaji??

Ukweli ni kwamba Hawaku-submit Elective report ambayo hupaswa kufanywa ktk likizo ya mwaka wa nne, na deadline huwa kabla ya kumaliza masomo yaani mwaka wa tano, hivyo mwanafunzi huwa na mwaka mzima wa kukusanya data, kuandika report...
-Je, walifanya?..walimaliza?..kama kulikuwa na shida kati ya Supervisors wao, walitoa taarifa? Taarifa ilitoka ktk muda sahihi?

-Kati ya darasa lenye wanafunzi zaidi ya 150 ni wanafunzi 10 tu ndiyo ambao hawaku-submit elective report zao, au unataka kusema kuna kosa/makosa common to all ten candidates??

-Ustaarabu na heshima haihitaji kwenda shule..jifunze namna ya kusitiri taarifa fulani(personally SIDHANI KAMA NI STAHA kabisa ulivyo andika majina yao hapo-watu wana heshima zao, familia, na mahusiano mengine) na kama unadhani ni sahihi kuweka majina hapo kwanini jina la kumi halionekani??..kwangu mimi ninatafsiri WEWE ndiye wa kumi(AMBAYE JINA LAKO LINAJULIKANA PIA) na ninasema hivyo kwani uandisihi wako umekaa kishabiki au emotions zaidi..if,so kwanini hukuliweka? Au, jina lako liandikwe pia hapa?

-Kwa experience yangu ndogo wakti nikiwa mwanafunzi pale, MUHAS SENATE ikishapitisha ..that's the finals say..ingekuwa kuna wepesi kama maamuzi bado yapo katika MUHAS BOARD..So,ningewashauri wanafunzi tajwa wa-appeal since it is out of Academic grounds instead it was WRONG DISCIPLINARY MEASURE by the MUHAS Administration.

-Mwisho, POLE kwa wanafunzi wote mliofikwa na huo mkasa.
 
  • Thanks
Reactions: jyn
Back
Top Bottom