Wanafunzi kadhaa wa mwaka wa tano udaktari (medicine) Muhimbili University wamekuwa discontinued

bado wanaishi tu maana mi naona kama ni ngumu yaani kwa walichokuwa wanasomea hiyo bila cheti ni useless
ila inauma
 

Msaidie kwa kueleza nini kilichotukia kwa usawia. Vinginevyo sisi tutamwamini. Uongo haushindwi kwa kuuficha ukweli bali kwa kuuweka wazi.

Alizona tususaidie kwa kutujuza ukweli.
 

Naungana mkono na wewe katika hili la kutaja majina...na siamini kama MUHAS wameweka majina coz always walikua wanaweka namba na sio majina...labda sikuhizi imebadilika..
Kwaupande mwingine kwakutumia common sense tu...huwezi kumsomesha mtu kwa gharama kubwa ya miaka mitano then simply unampotezea...especially tatizo likiwa si kufeli mitihani ambayo inachukua uzito mkubwa katika fani hii.Najua wanamakosa but bado kulikua na njia nyingi mbadala za kuwa bana wanafunzi hawa na kuokoa rasilimali za taifa.
He kumbe Karim mbulushi ndo kawa Dean,MUHAS kuna janga sasa hivi wakuu
 
Tunapokuwa wanafunzi mara nyingi tunajisahau sana kutimiza wajibu na kukimbilia kulaumu mfumo. Kama prospectus ipo kwa nini hao wanafunzi wamengoja mpaka ifikie huko? Ni lazima kukubali kuwa wanamatatizo hata kama wana uwezo katika masomo.
 
Second chance wapewe wote siyoo madaktari. Hivi kule chumba cha operesheni wanaweza kutoa second chance kwa aliyekufa? Acheni utani bwana. hao warudi nyumbani wakakazane na kilimo kwanza.

Nadhan hujui jinsi madaktari wanavyotayarishwa, elective much more of academics and less of practical ya kufanya operation. Na ili uruhusiwe kupractice unapaswa kufanya internship na kusajiliwa na baraza la madaktari. Ila naungana na wachangiaji wengine kuwa kuna aina fulani ya uzembe ya wadogo zetu vyuoni. Wanaanza kupoteza culture ya udaktari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…