Jose M
Member
- Feb 3, 2011
- 64
- 9
[COLOR=rgba(0, 0, 0, 0.8)]Namuunga mkono WAZIRI Mulugo kwenye hili. Wale wa Haki za Binadamu wanajifanya kama hawaishi Tanzania na kama wao walisoma Ulaya kwamba hawakuchapwa. Naomba tuwachape wawe na adabu mpaka tutakapo fikia kiwango wanachokitaka watu wa haki za Binadamu. Safi sana Waziri.[/COLOR]