Wanafunzi masikini tusijisahau vyuoni na kuishi kitajiri

Wanafunzi masikini tusijisahau vyuoni na kuishi kitajiri

hassan yahaya

Member
Joined
Aug 27, 2022
Posts
35
Reaction score
37
Hii ni kwaajili ya wanafunzi wa vyuo vikuu ambao wametoka katika familia duni. Umezuka mtindo kwamba wanafunzi wengi waliotoka familia zenye hali duni na kwenda vyuo vikuu kubadilika na kujisahaulisha hali halisi ya nyumbani kwao.

Umetoka nyumbani hali ni dhaifu mnaishi nyumba ya nyasi, mama anapikia jiko la kuni, wadogo zako wanaenda shule sare zao zina viraka vitupu, baba yako analima shamba lake kisha anafanya kazi ya kibarua ili apate pesa akulupie wewe na akidhi mahitaji ya familia

Leo hii wewe umekuja chuo kikuu unasahau ulipotoka unaanza kuishi kama kwenu ni tajiri, unamiliki simu ya iphone, unanunua kitanda cha laki mbili na nusu, unajifunza kunywa pombe, unaenda kumbi za starehe ili tu usionekane kuwa kwenu masikini, dear brother/sister hiyo hela si bora umtumie mama yako huko kijijini imsaidie.

Unafika chuo unaacha kusoma kwa kuwafata wanafunzi wenzio ambao wametoka familia ambazo ni tajiri na unasahau kama kwenu ukoo mzima wewe ni wakwanza kusoma na wote wanadhani kwamba ukifanikiwa utakuja kuwasaidia lakini wewe unasahau na kuanza tabia za ajabu mwisho unapoteza CV unafukuzwa chuo unarudi nyumabni unalia.

Hebu tubadilike ishi kulingana na hali ya familia yako chuo umekuja kusoma sio kustarehe tumia simu ya kawaida tu usitake kumiliki vitu vya bei ghali kwa pesa unayolipiwa na wazazi wako, kuna mtu atasema hii pesa napokea boom sio ya mzazi hii, my dear ni kweli ila hiyo pesa kama ungemtumia mama yako angekushukuru na kukuombea dua nawe upate baraka zake.

Tujitambue wanafunzi wenzangu kwetu wanatutegemea
 
Sawa tumemuelewa, ila chuo utakiwi kuishi kinyonge mkuu! hata kama kwenu mnalalia mkeka.
haina maana kwamba ulalie mkeka ila usiishi maisha ambayo ni expensive hiyo ela bora uwasaidie wazazi kule kijijini hata katika shughuli za kilimo just imagine unanunua tv alaf wazee wako huko kijijini wanalima kwa jembe la mkono
 
haina maana kwamba ulalie mkeka ila usiishi maisha ambayo ni expensive hiyo ela bora uwasaidie wazazi kule kijijini hata katika shughuli za kilimo just imagine unanunua tv alaf wazee wako huko kijijini wanalima kwa jembe la mkono
Wewe upo chuo ni Mwanafunzi?
 
Hii ni kwaajili ya wanafunzi wa vyuo vikuu ambao wametoka katika familia duni. Umezuka mtindo kwamba wanafunzi wengi waliotoka familia zenye hali duni na kwenda vyuo vikuu kubadilika na kujisahaulisha hali halisi ya nyumbani kwao.

Umetoka nyumbani hali ni dhaifu mnaishi nyumba ya nyasi, mama anapikia jiko la kuni, wadogo zako wanaenda shule sare zao zina viraka vitupu, baba yako analima shamba lake kisha anafanya kazi ya kibarua ili apate pesa akulupie wewe na akidhi mahitaji ya familia

Leo hii wewe umekuja chuo kikuu unasahau ulipotoka unaanza kuishi kama kwenu ni tajiri, unamiliki simu ya iphone, unanunua kitanda cha laki mbili na nusu, unajifunza kunywa pombe, unaenda kumbi za starehe ili tu usionekane kuwa kwenu masikini, dear brother/sister hiyo hela si bora umtumie mama yako huko kijijini imsaidie.

Unafika chuo unaacha kusoma kwa kuwafata wanafunzi wenzio ambao wametoka familia ambazo ni tajiri na unasahau kama kwenu ukoo mzima wewe ni wakwanza kusoma na wote wanadhani kwamba ukifanikiwa utakuja kuwasaidia lakini wewe unasahau na kuanza tabia za ajabu mwisho unapoteza CV unafukuzwa chuo unarudi nyumabni unalia.

Hebu tubadilike ishi kulingana na hali ya familia yako chuo umekuja kusoma sio kustarehe tumia simu ya kawaida tu usitake kumiliki vitu vya bei ghali kwa pesa unayolipiwa na wazazi wako, kuna mtu atasema hii pesa napokea boom sio ya mzazi hii, my dear ni kweli ila hiyo pesa kama ungemtumia mama yako angekushukuru na kukuombea dua nawe upate baraka zake.

Tujitambue wanafunzi wenzangu kwetu wanatutegemea
Acha tuishi jinsi tunavyopenda, serikali unatupa boom ili tulitumbue ipasavyo.
 
Hii ni kwaajili ya wanafunzi wa vyuo vikuu ambao wametoka katika familia duni. Umezuka mtindo kwamba wanafunzi wengi waliotoka familia zenye hali duni na kwenda vyuo vikuu kubadilika na kujisahaulisha hali halisi ya nyumbani kwao.

Umetoka nyumbani hali ni dhaifu mnaishi nyumba ya nyasi, mama anapikia jiko la kuni, wadogo zako wanaenda shule sare zao zina viraka vitupu, baba yako analima shamba lake kisha anafanya kazi ya kibarua ili apate pesa akulupie wewe na akidhi mahitaji ya familia

Leo hii wewe umekuja chuo kikuu unasahau ulipotoka unaanza kuishi kama kwenu ni tajiri, unamiliki simu ya iphone, unanunua kitanda cha laki mbili na nusu, unajifunza kunywa pombe, unaenda kumbi za starehe ili tu usionekane kuwa kwenu masikini, dear brother/sister hiyo hela si bora umtumie mama yako huko kijijini imsaidie.

Unafika chuo unaacha kusoma kwa kuwafata wanafunzi wenzio ambao wametoka familia ambazo ni tajiri na unasahau kama kwenu ukoo mzima wewe ni wakwanza kusoma na wote wanadhani kwamba ukifanikiwa utakuja kuwasaidia lakini wewe unasahau na kuanza tabia za ajabu mwisho unapoteza CV unafukuzwa chuo unarudi nyumabni unalia.

Hebu tubadilike ishi kulingana na hali ya familia yako chuo umekuja kusoma sio kustarehe tumia simu ya kawaida tu usitake kumiliki vitu vya bei ghali kwa pesa unayolipiwa na wazazi wako, kuna mtu atasema hii pesa napokea boom sio ya mzazi hii, my dear ni kweli ila hiyo pesa kama ungemtumia mama yako angekushukuru na kukuombea dua nawe upate baraka zake.

Tujitambue wanafunzi wenzangu kwetu wanatutegemea
Kwahy unawashauri waonyeshe wao ni Maskini
 
Kwahy unawashauri waonyeshe wao ni Maskini
laa..! si hivyo ila wasiishi kistaa mfano kwenda club au viwanja vya starehe
kutumia matumiz makubwa mfano unamkuta mtu anatumia cm ya laki saba au milion moja hali ya kuwa kwao hali ni dhoofu sana japo kuwa vitu vya bai ya kawaida na vinafaa vipo bali ananunua kwasababu ya show off
 
Back
Top Bottom