Wanafunzi na walimu ni kama maadui

Sikuwahi hata ipenda tokea nilivyoanza form 1 nilivutiwa na Commerce and Book keeping
Kumbe ulipenda Masomo ya hela hela tu 😜

Binafsi nilipenda Sayansi na nilifanikiwa kusoma Sayansi(Engineering ) ambayo inasaidia kusolve matatizo ya Jamii hapa Bongo

Japo ningeendaga kusoma vyuo vya mbele huko huenda ningekuwa best Engineer kuliko ilivyo sasaπŸ₯²
 
Nyie ndo mnaopewa tenda na serikali mjenge majengo, hela mnatia mfukoni mnajaza michanga badala ya cement?πŸ˜‚
Barabara mwezi zishajaa matobo?
 
Kambamiza ukutani
 
Nyie ndo mnaopewa tenda na serikali mjenge majengo, hela mnatia mfukoni mnajaza michanga badala ya cement?πŸ˜‚
Barabara mwezi zishajaa matobo?
Mimi nina huruma na jamii yangu ya akina ephen_ hivyo nazingatia sana ubora na viwango pamoja na Value for money Mkuu πŸ€—

Bahati mbaya tumezeeka sasa 😜
 
Mimi nina huruma na jamii yangu ya akina ephen_ hivyo nazingatia sana ubora na viwango pamoja na Value for money Mkuu πŸ€—

Bahati mbaya tumezeeka sasa 😜
Kama unajali basi Vyema
Mungu akubariki.
 
Kwenye shavu nina alama nilifinywa na mwalimu Mlekwa nikiwa darasa la kwanza mpaka leo ipo.
Hoya broo...huyo Mwl Mlekwa sio yule aliyekua shule ya Msingi Azimio Mwanza....kama ndo huyo nami kanibonda sana yule Mwamba na TABIA yake yakupiga fimbo madirishani.....Mwenyezi Mungu ampumzishe Kwa amani
 
Usifananishe watoto wa Marekani na Afrika,Watoto wa Marekani wakizaliwa automatically wanakuwa na uelewa,hii mitoto ya Kiafrika bila Mboko haiwezi kwenda!.

Ok tuachane na hilo!

Huyo mwanao kachukua li akili lako,yawezekana na wewe nilikichwa maji kama mwanao!.

Haiwezekani mwalimu alielekeze liandike mahali sahihi kwenye daftari lenyewe linaenda kuandika nyuma ya daftari,Je unadhani hii ni akili ya kawaida?,Huu si wehu?

Kama toto limerithi akili yako basi nawaonea huruma hao walimu!

By the way : MBOKO ZITEMBEE KWA MIAFRIKA
 
Hiyo chuki yako hadi kuandika uzi wenye maneno ya kudhalilisha waalimu imevuka mipaka. Kama kuna shida mahali malizana na mwalimu katika namna sahihi ila sio kuwaona kuwa ni mataahira.

Kusema kwamba wanafunzi wasichapwe viboko ni upumbavu tunaoweza kujutia baadae. Huko Marekani vijana ni kama wameshachanganyikiwa kwa tabia za hovyo hasa wale black. Sisi tuko sahihi kulinda maadili yetu. Ukikereka zaidi hamishia mtoto wako London.
 
Reactions: _ly
Ualimu ni kazi moja ngumu mmno ,fikiria wewe ukikaa home na watoto wako watatu unaona ni kero lakini mwalimu anawatoto wa hivyo zaidi ya mia moja na bado anastress zake za maisha.shule nyingi hata hizo za private Huwa hawalipi waalimu vizuri,unakuta mwalimu anadai hata mishahara mitatu halafu mtoto analeta habari za kijinga
 
Lugha unayotumia inaonyesha ni jinsi gani wewe pia ni zezeta.teaching is a professional.kuna baadhi ya walimu wasiochapa katika maeneo husika na wakati mwingine kuvuka mipaka lakini heshima ya mwalimu Iko pale pale.inawezekana hutambui kwasababu huna ulichofaidika kwakuwa sijui elimu Yako lakini Nina mashaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…