Wazazi ndio kwanza waaribifu wa tabia kwa watoto lawama kwa walimu ,ukitaka kujua hili kumbuka kipindi cha korona wazazi walikaa na watoto nyumban wakawachoka "eti shule hawafungui tuu"nin maana yke,wanafunzi wanashinda mda mrefu na mwalimu hivyo kunatabia mwanafunzi anazoficha kwa mda mfupi kwa mzazi ataonyesha kwa mwalimu tu anayekaa naye mda mrefu,usipomwamini mwalimu mfundishe mwenyew mwanao simple way.Mnamalezi ya kudekeza watoto wenu wakiharika wansrushia lawama walimu,mtoto yupo form 4hadi nguo za ndani anafuliwa