Wanafunzi: Tangazo Maalum

Wanafunzi: Tangazo Maalum

Joined
Apr 27, 2006
Posts
26,584
Reaction score
10,400
Wakuu wote heshima mbele, nilipokuwa Dar-Maritime School, au shule ya meli, niliwahi kufundishwa na Mwalimu, Professor Lwiza Kamazima ambaye sasa ni mwalimu baabu kubwa sana huko majuu, yeye pia hujishughulisha sana kuwasaidia sana vijana wa kibongo wanaotaka elimu, sasa amenitumia hila tangazo kwa wote, naomba vijana mliangalie kwa makini na muwasiliane naye mkiweza,

Professor Lwiza, respect na Mungu akuzidishie maarifa na uwezo wa kusaidia wananchi wasiokuhusu, that is Godly:-



Stony Brook University Open House Nov 22‏
From: klwiza@notes.cc.sunysb.edu
Sent: Tue 10/14/08 6:35 AM
To: klwiza@notes.cc.sunysb.edu
Bcc:

Wananchi,

If you have a college-bound child or sibling you may want to consider coming to Stony Brook University. We have an Open House event on November 22 (see Open House ). This is an information event where you get a chance to explore what the college can offer. I will be at the event all day. Stony Brook is the best public college in New York and one of the top 50 colleges (private and public) in the US.

Tuition is reasonable: Per semester New York State Resident Tuition $2,175.00, and Out of State Tuition$5,305.00.

If you need further information please let me know.

Kamazima
______________ _______________
Kamazima Lwiza, Associate Professor
Director Env. Living Learning Center
School of Marine & Atmospheric Sciences
Stony Brook University
Stony Brook
NY 11794-5000
Tel: 631-632-7309






Mods naomba iwasaidie vijana wetu na iki-expire muipeleke inapotakiwa.


Wazee wa Radio station ya FMES, Sauti Ya Umeme!
 
FMES,

....kazi nzuri mkuu wangu.......weka mavitus mwanangu........watu wachangamkie
 
Heshima iwarudie wakuu, I mean kama unaweza mpenyezee mwananchi wmingine hii kitu maana ni for real, kwa sababu hata mimi nilijisomesha kupitia hiyo hiyo system ya Suny-Education,

Sasa kwa wale vijana ambao hamna ujanja zaidi tuwasiliane ili tuwape ujanja wa kuingia hiyo system kama resident, kwa sababu bila hivyo utalipa hela nyingi sana ambazo niaamini kuwa na wewe ni kama mimi huna,

Hii system ina shule zingine kama:

City College, Baruch, Hunter College, Lehman College, lakini Stonybrook ndiyo kiboko ya zote, sasa tuwahabarisheni vijana wetu kwa sababu kwa dola $ 2,175 unaweza kujisomesha mwenyewe kama nilivyofanya bila kusumbua wazazi. Mimi nilikuwa ninaenda kazini saaa 8 usiku mpaka saaa tano asubuhi, College saaa tisa mpaka saa nne usiku, hakuna excuse hapo kwa sababu mwisho wa mwaka serikali ya US inakupa tax break na kukurudishia hela zote ulizolipa shuleni kwenye ku-file taxes, kwa hiyo inakua even hujapoteza anything tena ni wewe mwanafunzi ndiye unayekwua ume-gain sana, maana umepata elimu na hela zako back!

Haya sasa tuwaahabarishe vijana wa kibongo wachangamkie!

Ahsante Wakuu!
 
Heshima iwarudie wakuu, I mean kama unaweza mpenyezee mwananchi wmingine hii kitu maana ni for real, kwa sababu hata mimi nilijisomesha kupitia hiyo hiyo system ya Suny-Education,

Sasa kwa wale vijana ambao hamna ujanja zaidi tuwasiliane ili tuwape ujanja wa kuingia hiyo system kama resident, kwa sababu bila hivyo utalipa hela nyingi sana ambazo niaamini kuwa na wewe ni kama mimi huna,

Hii system ina shule zingine kama:

City College, Baruch, Hunter College, Lehman College, lakini Stonybrook ndiyo kiboko ya zote, sasa tuwahabarisheni vijana wetu kwa sababu kwa dola $ 2,175 unaweza kujisomesha mwenyewe kama nilivyofanya bila kusumbua wazazi. Mimi nilikuwa ninaenda kazini saaa 8 usiku mpaka saaa tano asubuhi, College saaa tisa mpaka saa nne usiku, hakuna excuse hapo kwa sababu mwisho wa mwaka serikali ya US inakupa tax break na kukurudishia hela zote ulizolipa shuleni kwenye ku-file taxes, kwa hiyo inakua even hujapoteza anything tena ni wewe mwanafunzi ndiye unayekwua ume-gain sana, maana umepata elimu na hela zako back!

Haya sasa tuwaahabarishe vijana wa kibongo wachangamkie!

Ahsante Wakuu!

Mkuu shukarani.Hebu niambie kwa mtu aliyeko huku Bongo anafaidikaje?How can he/she Explore it?
 
Kuna kuihamisha tena? Dah!
Nataka niwape watu hii link, labda nisubiri kwanza?


Hili la kuhamisha thread sio mara ya kwanza kuliona, maana yake nini hasa? (Swali kwa MODs)
Ina maana kuna watu hawafungui jukwaa jingine isipokuwa la siasa? If that is the case then something is wrong here!


Asante Field Marshall ES kwa hizi habari.




.
 
Mkuu shukarani.Hebu niambie kwa mtu aliyeko huku Bongo anafaidikaje?How can he/she Explore it?

Mkuu heshima yako, labda wewe sijakuelewa vizuri, lakini ninaamini kuwa nimemuelewa vizuri mtoa tangazo Professor Lwiza, ingawa hakuenda deep kwenye tangazo lake la msaada kwa vijana wa kibongo wenye njaa ya elimu ya juu,

Mimi nimejaribu kwenda deep kidogo, kwamba hapa the deal ni kwamba ni kutafuta mbinu ili uweze kusoma hapo kama resident, sasa kama ninakupata ni kwamba huwezi ku-apply kutoka huku bongo halafu ukafanikiwa kusoma kama resident wa County iliyoko hii shule,

Lakini ninaamini kuwa ukiwa bongo, unaweza kuwasiliana na Professor Lwiza akaweza kukusaidia kupata mipangilio ya kusoma huko ma-US, ikiwa ni pamoja na kupata viza ya shule huko,

Wito wangu kwa wanafunzi wote wenye nia ya kujiendeleza, ni vyema ukawasiliana na Professor Lwiza, kwa sababu huyu mkulu ni mtu straight na asiyekwua na mchezo, na hamung'unyi maneno, atakwambia ukweli kama ulivyo as what he can do kukusaidia au kutokusaidia.

Ahsante Mkuu.
 
Heshima iwarudie wakuu, I mean kama unaweza mpenyezee mwananchi wmingine hii kitu maana ni for real, kwa sababu hata mimi nilijisomesha kupitia hiyo hiyo system ya Suny-Education,

Sasa kwa wale vijana ambao hamna ujanja zaidi tuwasiliane ili tuwape ujanja wa kuingia hiyo system kama resident, kwa sababu bila hivyo utalipa hela nyingi sana ambazo niaamini kuwa na wewe ni kama mimi huna,

Hii system ina shule zingine kama:

City College, Baruch, Hunter College, Lehman College, lakini Stonybrook ndiyo kiboko ya zote, sasa tuwahabarisheni vijana wetu kwa sababu kwa dola $ 2,175 unaweza kujisomesha mwenyewe kama nilivyofanya bila kusumbua wazazi. Mimi nilikuwa ninaenda kazini saaa 8 usiku mpaka saaa tano asubuhi, College saaa tisa mpaka saa nne usiku, hakuna excuse hapo kwa sababu mwisho wa mwaka serikali ya US inakupa tax break na kukurudishia hela zote ulizolipa shuleni kwenye ku-file taxes, kwa hiyo inakua even hujapoteza anything tena ni wewe mwanafunzi ndiye unayekwua ume-gain sana, maana umepata elimu na hela zako back!

Haya sasa tuwaahabarishe vijana wa kibongo wachangamkie!

Ahsante Wakuu!

Mkuu heshima yako.
Mimi naomba nikuulize maswali ya uchokozi kutokana na experience uliyoipata

Mkuu wangu unaingia kazini saa 8 usiku unatoka saa tano asubuhi na unaingia shule saa tisa mchana mpaka saa nne usiku.Sasa mkuu masaa ya kujisomea na kupiga usingizi yalikuwa yanapatikana je? mkuu.

Harafu unaweza ingia ndani zaidi kwa kutueleza mfano masomo fulani yana lecture masaa mangapi? tutorial masaa mangapi na lebo masaa mangapi kwa week?.Samahani kwa usumbufu.

ILA kwanini watu wasisome tu udsm mkuu wangu?
 
1.
Mkuu heshima yako.
Mimi naomba nikuulize maswali ya uchokozi kutokana na experience uliyoipata
Mkuu wangu unaingia kazini saa 8 usiku unatoka saa tano asubuhi na unaingia shule saa tisa mchana mpaka saa nne usiku.Sasa mkuu masaa ya kujisomea na kupiga usingizi yalikuwa yanapatikana je? mkuu.

Heshima mbele mkuu, kwanza ukisha ingia nchi za watu na wewe lazima ubadilike bro, between saa tano mpaka saaa tisa ni masaa manne ni mengi sana ukiingia hayo maisha ambayo kichwani mwako ni lazima ujiwekee kuwa ni ya temporary kwa ajili ya kutafuta elimu,

Halafu si kwamba unafanya hayo kila siku, kwa sababu kwa credit 15 per semester, unakuwa unaenda namna hiyo mara tatu au nne kwa wiki kwa hiyo una muda wa kutosha sana kufanya homework, ambayo ndio hasa uti wa mgongo wa elimu ya US, na week end yote ni kulala Library,

Then yanakuja masuala ya kichwa, kama hakiko sawa then huwezi haya mambo mkuu maana utaishia kuchekesha huko kwenye madarasa ya nchi za watu


2.
Harafu unaweza ingia ndani zaidi kwa kutueleza mfano masomo fulani yana lecture masaa mangapi? tutorial masaa mangapi na lebo masaa mangapi kwa week?.Samahani kwa usumbufu.

Masomo karibu yote niliyosoma lecture ilikuwa karibu masaa matatu, kwa hiyo saa tisa mpaka saaa tatu na nusu usiku ni lecture za madarasa mawili a night, hizo ni credit sita mkuu per semester, na mengine yote yanategemea na darasa na mwalimu wa darasa kumbuka hata waalimu wenyewe wanajua kua wananufnzi wa madarssa haya ya jioni ni wafanyakazi period na hata wao pia wamekuwa wakifundisha shule kama mbili au tatu kwa siku, kwa hiyo kunakuwa na considerations flani katika ku-deal na time na madarasa yenyewe in general.

3.
ILA kwanini watu wasisome tu udsm mkuu wangu?

Unafikiri ni kwa nini watu wasisome majuu kama nafasi zipo? Again my point ni kwamba unaweza kujisomesha nje na ukaweza kuyamudu maisha vile vile bila kulipiwa na wazazi kama wengi wanavyoamini, mimi darasani nimesoma na Wa-Nigeria waliokuwa wanaendesha taxi usiku kucha bro na wala hakukuwa na tatizo lolote.

Ashante Mkuu.
 
Pamoja na nia nzuri ya aliyeleta hii habari, siasa iko wapi humu? Si kuna jukwaa la elimu?

Mods naomba iwasaidie vijana wetu na iki-expire muipeleke inapotakiwa.
Wazee wa Radio station ya FMES, Sauti Ya Umeme!
 
safi sana mkuu dawa ndio hii vijana wakomboke kielimu, watu wanawaza watapata wapi masaa ya kulala, wadogo zetu wajue kuwa sacrifices ni muhimu kwa maendeleo unajiminya muda mchahce ili lengo litimie; Asante FMES, keep posting mor oportunities.
 
1.

Heshima mbele mkuu, kwanza ukisha ingia nchi za watu na wewe lazima ubadilike bro, between saa tano mpaka saaa tisa ni masaa manne ni mengi sana ukiingia hayo maisha ambayo kichwani mwako ni lazima ujiwekee kuwa ni ya temporary kwa ajili ya kutafuta elimu,

Halafu si kwamba unafanya hayo kila siku, kwa sababu kwa credit 15 per semester, unakuwa unaenda namna hiyo mara tatu au nne kwa wiki kwa hiyo una muda wa kutosha sana kufanya homework, ambayo ndio hasa uti wa mgongo wa elimu ya US, na week end yote ni kulala Library,

Then yanakuja masuala ya kichwa, kama hakiko sawa then huwezi haya mambo mkuu maana utaishia kuchekesha huko kwenye madarasa ya nchi za watu


2.

Masomo karibu yote niliyosoma lecture ilikuwa karibu masaa matatu, kwa hiyo saa tisa mpaka saaa tatu na nusu usiku ni lecture za madarasa mawili a night, hizo ni credit sita mkuu per semester, na mengine yote yanategemea na darasa na mwalimu wa darasa kumbuka hata waalimu wenyewe wanajua kua wananufnzi wa madarssa haya ya jioni ni wafanyakazi period na hata wao pia wamekuwa wakifundisha shule kama mbili au tatu kwa siku, kwa hiyo kunakuwa na considerations flani katika ku-deal na time na madarasa yenyewe in general.

3.

Unafikiri ni kwa nini watu wasisome majuu kama nafasi zipo? Again my point ni kwamba unaweza kujisomesha nje na ukaweza kuyamudu maisha vile vile bila kulipiwa na wazazi kama wengi wanavyoamini, mimi darasani nimesoma na Wa-Nigeria waliokuwa wanaendesha taxi usiku kucha bro na wala hakukuwa na tatizo lolote.

Ashante Mkuu.

Mkuu nashukuru kwa ufafanuzi huu mzuri sana
 
safi sana mkuu dawa ndio hii vijana wakomboke kielimu, watu wanawaza watapata wapi masaa ya kulala, wadogo zetu wajue kuwa sacrifices ni muhimu kwa maendeleo unajiminya muda mchahce ili lengo litimie; Asante FMES, keep posting mor oportunities.

safi sana mkuu dawa ndio hii vijana wakomboke kielimu, watu wanawaza watapata wapi masaa ya kulala, wadogo zetu wajue kuwa sacrifices ni muhimu kwa maendeleo unajiminya muda mchahce ili lengo litimie; Asante FMES, keep posting mor oportunities.

Wakuu heshima mbele sana, tunajaribu kuhabarishana opportunities na mimi binafsi ninawaheshimu sana waalimu wawili huko New York, yaani Proffesor Lwiza na Prof. Mtui, hawa wamekuwa mfano wa kuigwa kwa tabia zao za kusaidia wa-Tanzania wenzao bila kubagua wala kuchagua,

Heshima zangu zaidi zinamuendea Proffesor Lwiza, ambaye amenifundisha mimi binafsi, na wadogo zangu wawili kule Mlimani, ninarudia tena kwamba kwa wale wenye shida kweli ya elimu na kuhitaji msaada, huyu anaweza kuwasaidia sana, maana unajua mahali popote duniani unakuwa safe ukiwa na mwenyeji ambaye yuko willing kusaidia bila conditions.

Ahsante Wakuu Tunaendeela kuhabarishana
.
 
Heshima iwarudie wakuu, I mean kama unaweza mpenyezee mwananchi wmingine hii kitu maana ni for real, kwa sababu hata mimi nilijisomesha kupitia hiyo hiyo system ya Suny-Education,

Sasa kwa wale vijana ambao hamna ujanja zaidi tuwasiliane ili tuwape ujanja wa kuingia hiyo system kama resident, kwa sababu bila hivyo utalipa hela nyingi sana ambazo niaamini kuwa na wewe ni kama mimi huna,

Hii system ina shule zingine kama:

City College, Baruch, Hunter College, Lehman College, lakini Stonybrook ndiyo kiboko ya zote, sasa tuwahabarisheni vijana wetu kwa sababu kwa dola $ 2,175 unaweza kujisomesha mwenyewe kama nilivyofanya bila kusumbua wazazi. Mimi nilikuwa ninaenda kazini saaa 8 usiku mpaka saaa tano asubuhi, College saaa tisa mpaka saa nne usiku, hakuna excuse hapo kwa sababu mwisho wa mwaka serikali ya US inakupa tax break na kukurudishia hela zote ulizolipa shuleni kwenye ku-file taxes, kwa hiyo inakua even hujapoteza anything tena ni wewe mwanafunzi ndiye unayekwua ume-gain sana, maana umepata elimu na hela zako back!

Haya sasa tuwaahabarishe vijana wa kibongo wachangamkie!

Ahsante Wakuu!
sauti ya umeme, haya mambo bado yapo?
 
Back
Top Bottom