Wanafunzi UDOM Wachanga laki 7 kwa wahanga wa Arusha...

Wanafunzi UDOM Wachanga laki 7 kwa wahanga wa Arusha...

Uonapo dalili hizi, ujue ule mwisho wa CCM umekaribia. ASOMAE NA AFAHAMU!
 
Safi sana ndugu zetu wa dodoma...
Hili taifa litakombolewa na wazalendo na wenye utu na machungu ya nchi na si mafisadi.
Garama za maisha, maradhi, ukosefu wa huduma za jamii kama maji n.k zinamgusa kila mwananchi so huitaji kushikamana na chama fulani wakati taifa na ndugu zako walio vijijini wanaangamia kwa njaa na kulala kwenye tembe....Mshike yule unayeona ana nia ya kukuongoza kwenye ukombozi.

Wakati umefika sasa wa kuweka itikadi na maslahi ya vyama pembeni na kupigania uhuru wa jumla kwa watanzania wote.
 
Good job people. Your no longer betrayors, lets keep on fighting 4 what we deserve. Trimph starts with a long journey.
 
lahaulaa tbc 1 wamechakachua tena! eti wameonyesha maandamano hayakupata attention ya umma dodoma.labda star tv na itv wataonyesha ukweli



okesho binafsi nyawatumia picha na tamko hiyo kesho!
matawi yamefunguliwa,kadi zuumegaiwa leo!pipozzzzz
 
Back
Top Bottom