KERO Wanafunzi UDSM tuna uhaba wa usafiri wa kutokea Main Campus kwenda Mabibo Hostel

KERO Wanafunzi UDSM tuna uhaba wa usafiri wa kutokea Main Campus kwenda Mabibo Hostel

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Kwanza poleni na shida hiyo inayowakabili. Lakini kwa mwanafunzi wa chuo kikuu, kweli unashindwa kujua SHATO imetokana na neno Shuttle na kulitumia ipasavyo?
Kwamba hata kama unasomea mitishamba au Particle Physics lazima ujue neno linatokana na nini ?

Au lazima nikiongelea Petrol Station na kumtuma mtu kwenda Sheli siwezi kusema hivyo sababu imetokana na Shell na sio Petrol Station zote ni Sheli ?

Nadhani tukiangalia zaidi context na content na sio kujikita zaidi kwenye neno/maneno/vijikosa, tutakuwa na mijadala isiyopotoka
 
Nyie madogo nyambafu zenu yaani kutoka hapo shuleni kwenu Hadi mabwenini ndo mnalilia mabasi ???Amkeni mapema tembeeni kwenda madarasani kama mna vipindi vya asubuhi, ...jioni hvo hvo tembeeni kurudi bwenini.
 
Nend
Wanafunzi wa UDSM tuna uhaba wa usafiri wa kutokea Main Campus (Chuo) kuelekea Mabibo Hostel, magari hayo maarufu kwa jina la SHATO.

Tunalazimika kukaa muda mrefu tukisubiri usafiri, inadaiwa kuna wakati magari hayo yanakuwa yanakodiwa kwa matumizi mengine wakati ambapo yanatakiwa kuwa yanawachukua Wanafunzi.

Hakuna hatua zozote management wamechukua kusolve suala hili.

Nendeni VETA
 
Madogo wa UDSM uvivu na ubishoo tu unawasumbua. Waulizeni madogo wa UDOM, kule mtu anatoka humanity kwa mguu mpaka CIVE ni zaidi ya 10km kuwahi kipindi au kupiga pepa. Wengine wanatoka pale social mpaka humanity zaidi ya 10km kupiga pindi na mtihani haijalishi ni usiku au alfajiri madogo wanatembea kwa mguu.
 
Back
Top Bottom