KERO Wanafunzi wa Chuo cha Mipango na Maendeleo vijijini hatujapewa fedha za boom hadi sasa

KERO Wanafunzi wa Chuo cha Mipango na Maendeleo vijijini hatujapewa fedha za boom hadi sasa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Otman Moood

Member
Joined
Jul 12, 2022
Posts
27
Reaction score
12
Habari: fedha ya kujikimu kwa wanafunzi wa vyuo hususani Chuo cha mipango na maendeleo vijijini imeingia toka tarehe 30 ya mwezi 4 lakini ajabu mpaka leo tarehe 8 ,fedha izo azijaingizwa kwenye Account za wanafunzi ili waweze kuzisaini, matokeo yake tunaambiwa eti tutakatwa ela kwa sababu zimechelewa kusainiwa ,maisha yamekuwa magumu sana , Tunaomba mamlaka husika watusaidie suala hili.
 
Huu ni mwandiko wa mwanafunzi wa Elimu ya Juu?😭😭

inasikitisha sana
 
Chanzo hiki hapa
IMG-20240508-WA0007.jpg
 
KERO Ucheleweshwaji wa malipo ya pesa za kujikimu (boom) kwa wanachuo
 
Una maanisha pesa yenu imekuja chuoni ila chuo ndio hakijawaingizia kwenye akaunti zenu? MaaaaG
 
Mmeambiwa mkipewa mnaenda kulewa, inashauriwa msipewe mnaitumia vibaya, bora ipelekwe kwenye karo tu
 
Back
Top Bottom