EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Kule hostel nilipokuwa naishi kulikuwa na kesi za ajabu kama hizi na tulikuwa na wakenya watatu pale hostel,sasa nimepata picha ni kina nani walikuwa wanakunya sakafuni badala ya kwenye vyoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kenya kutembea na mavi ni kawaida.Maji si desturi yao.Usiombe ukagegeda kademu ka Nairobi ni full harufu! [emoji87][emoji87][emoji87]
Wakenya na waganda wana ushamba usioisha.Wanafunzi wa Chuo Kikuu Moi kilichopo nchini Kenya wakumbushwa matumizi sahihi ya choo, ambapo wameonywa kuachana na tabia ya kujisaidia kwenye sakafu za hosteli za chuo hicho na kutumia barakoa kama 'toilet paper'. Onyo hilo limetolewa tarehe 15/02/2021 na uongozi wa Hosteli za Chuo hicho.
View attachment 1706342
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kule hostel nilipokuwa naishi kulikuwa na kesi za ajabu kama hizi na tulikuwa na wakenya watatu pale hostel,sasa nimepata picha ni kina nani walikuwa wanakunya sakafuni badala ya kwenye vyoo
Wameona wasawazishe!Imepikwa hii