Wanafunzi wa chuo wanaokwenda TANESCO kufanya field huwa wanalipwa?

Wanafunzi wa chuo wanaokwenda TANESCO kufanya field huwa wanalipwa?

Wewe hata ajira kupata itakuwa shida sana... mwombe Mungu akupe moyo wa subira na kuepuka tamaa.

Field ni sehemu ya wewe kujifunza kazi kwa vitendo kwahiyo hamlipwi na ikitokea mkawa mnapata chochote jua sio lazima upate.

Isitoshe kwa wenye mkopo wa HESLB huwa mnapewa pesa za kujikimu. Kijana tafuta ujuzi kwanza kabla ya kufikiria hela za dezo.
 
Wakubwa I hope mko powa!!

Nilkuwa na swali Moja, Iv wanafunzi wa chuo wanaoenda TANESCO kufanya field huwa wanalipwa??
Twende taratibu..

1. Ulipokua unasoma twisheni si ulikua unalipia kufundishwa?

2. Je unapoenda field wakakufundishe kwa vitendo je wewe unawalipa?

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Wewe hata ajira kupata itakuwa shida sana... mwombe Mungu akupe moyo wa subira na kuepuka tamaa.

Field ni sehemu ya wewe kujifunza kazi kwa vitendo kwahiyo hamlipwi na ikitokea mkawa mnapata chochote jua sio lazima upate.

Isitoshe kwa wenye mkopo wa HESLB huwa mnapewa pesa za kujikimu. Kijana tafuta ujuzi kwanza kabla ya kufikiria hela za dezo.
Hatakuelewa ,baada ya 10-15-20 ndio atakuelewa ulichomaanisha Ila saivi atakuona like mn00nko ,usiyejali biashara zako nk.ila ana mentality or mindset itakayomgharimu asipooangalia maisha yake yote
 
Back
Top Bottom