Kwa sisi wataalamu ukicheki hicho kichwa utagundua jamaa huyu hamnazoAisee wanafunzi wa mikoani ni strong na ni smart sana darasani tofauti na hawa wa dar, u Mamy ,Dady bye mwingi kweli,kifupi umayai umewazidi...
Cheki Toto mbeya hili
Nimekukuambia kama mtaalamu huyu ni autism au unabisha[emoji1] [emoji1] [emoji1] wacha hizo
Hii mwanangu pointiElimu aihitaji wabeba vyuma. Wanahitajika wanaoweza kufikiria positively.
Otherwise nionyeshe profesa mbeba vyuma au mwenye mbigili.