Wanafunzi wa Dar na wa Mikoani.

Wanafunzi wa Dar na wa Mikoani.

lossoJR

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2012
Posts
2,711
Reaction score
2,384
Aisee wanafunzi wa mikoani ni strong na ni smart sana darasani tofauti na hawa wa dar, u Mamy ,Dady bye mwingi kweli,kifupi umayai umewazidi...

Cheki Toto mbeya hili
fd6cbb90a3ada67520e822bb1533e7df.jpg
 
Aisee wanafunzi wa mikoani ni strong na ni smart sana darasani tofauti na hawa wa dar, u Mamy ,Dady bye mwingi kweli,kifupi umayai umewazidi...

Cheki Toto mbeya hili
fd6cbb90a3ada67520e822bb1533e7df.jpg
Kwa sisi wataalamu ukicheki hicho kichwa utagundua jamaa huyu hamnazo

Ni wale anakwambia yupo darasa la 20 ( seems to be autism)
 
Elimu aihitaji wabeba vyuma. Wanahitajika wanaoweza kufikiria positively.

Otherwise nionyeshe profesa mbeba vyuma au mwenye mbigili.
 
Kwa sisi wataalamu ukicheki hicho kichwa utagundua jamaa huyu hamnazo

Ni wale anakwambia yupo darasa la 20 ( seems to be autism)
[emoji1] [emoji1] [emoji1] wacha hizo
 
Shule zimefunga mpk noel na mwaka mpya vzipite tutaona mengi
 
Back
Top Bottom