Cizokalugwagu
Member
- Jul 25, 2013
- 23
- 1
Sera mbovu na mipango ya kitoto ndivyo vyanzo vya uozo wa mambo mengi hapa kwetu Tanzania! Hivi kweli unaacha kushughulikia mizizi ya tatizo unadili na vijitawi vya tatizo??
WHAT A SHAME! Kama mitihani ndo inayofundisha haya twendeni.
WHAT A SHAME! Kama mitihani ndo inayofundisha haya twendeni.