Kama kawaida mzee wa zimbabwe and pemba haishi vituko, yaani anataka kutuambia kua tatizo ni wanafunzi?
Vipi kuhusu mishahara ya walimu? Vitendea kazi je? Mnaojua kwa undani mambo haya hebu nisaidieni hili jambo kua inakuwaje watoto wanaosoma shule za serikali walio wengi/wote ndio wanamaliza shule pasipo kujua kusoma lakini wale wa shule zisizo za serikali walio wengi/wote wanajua kusoma na kuandika?