Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,568
- 9,710
Ninawajulisha tuuuu,mpita njia wenu.
CC:-
Watoto wengi wapo nje ya mazingira ya shule, huku wenzao waliotoa Tsh. 500 wakiwa darasani.
Pia soma:
Nahisi hii sio sahihi, kutumia advantages za Darasa la Saba kisa kukabiliana na mtihani, muda wa masomo wa kawaida ni haki ya wanafunzi wote.
Remedios ndio iwe optional.
Majibu ya Waziri wa Elimu; Waziri wa Elimu, Prof. Mkenda apiga marufuku Shule kuzuia Wanafunzi ambao hawajalipa fedha za michango
CC:-
- Afisa Elimu Kata (Limemshinda au kajiongeza)
- Afisa Elimu Wilaya (Hasomeki,vikaoni haendagi)
- Afisa Elimu Mkoa (anajua mambo saafi kwa wa chini yake)
- Wizara ya Elimu
Watoto wengi wapo nje ya mazingira ya shule, huku wenzao waliotoa Tsh. 500 wakiwa darasani.
Pia soma:
- DOKEZO - √ - Shule ya Msingi Tumaini ya Tabata Kimanga Wanafunzi wasiochangia Tsh. 800 wanatolewa Darasani
- DOKEZO - √ - Malalamiko yaendelea kuhusu malipo ya 'Mchango wa Uendeshaji wa Shule Tsh 65,000' licha ya Serikali kufuta ada
- DOKEZO - √ - Wanafunzi wa kidato cha tano kukataliwa kisa hawajamaliza michango ni usumbufu kwa wanaotoka mbali
- DOKEZO - √ - Wazazi wa wanafunzi Shule ya Sekondari BUJUNANGOMA, tumechoka na Michango, Rushwa, Utumikishwaji wa watoto wetu shuleni
Nahisi hii sio sahihi, kutumia advantages za Darasa la Saba kisa kukabiliana na mtihani, muda wa masomo wa kawaida ni haki ya wanafunzi wote.
Remedios ndio iwe optional.
Majibu ya Waziri wa Elimu; Waziri wa Elimu, Prof. Mkenda apiga marufuku Shule kuzuia Wanafunzi ambao hawajalipa fedha za michango