Wanafunzi wa Kibongo na Matokeo ya Form 4 2012

huku ndo tusiseme. na haya matatizo ya usafiri na kushamiri kwa tuition kama si wanafunzi wanaishia guest nini.
 
tatizo la elimu tanzania ni pana na linahitaji tafakari na ufumbuzi wa pamoja badala ya kutoa majibu mepesi kuwa waziri kawambwa ajiuzuru
 
ukipita mitaa ya mbezi beach wanafunzi hawataki kupanda daladala muda wote wakiwa vituoni ni kuomba lift tu kwenye private cars. Maskini watoto wa kike hapo sijui km wanasalimika kwa vijana wenye starlets na gx100
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…