Wanafunzi wa kichawi wanapokuwa internship "Field" au mafunzo kwa vitendo

Picha Iko wapi
 
Mwanadam hajawahi kufikiria kitu ambacho halipo. Unless kuweka na kasoro za kutokujua namna. Hii ni theory mkuu
 
Wanga ni wanafunzi wa uchawi, wanapenda sana kujaribu karibu watu wanaowajua. Wengine wanajifanyaga waganga
 
Uchawi ni general umegawanyika makundi manne ambayo nao upo group mbili uchawi wa faida na uchawi wa hasara.
 
Mchawi ni wakala wa shetani asiyenufaikana uchawi lengo kuu ni kumfanya mwanadamu amkufuru Muumba wake kupitia matatizo yatokanayo na uchawi
 
Mchawi ndie kiumbe asiye kuwa na akili katika viumbe vyote Duniani afanyae mambo yasiyo na faida kwake Wala kwa jamii.
Na hakuna mtu mwenye roho nzuri Kama mchawi mchana ila usiombe uingie 18 zao usiku
 

Kwahiyo hao wachawi hizo nguvu wanatoa wapi?hayo maarifa wanatoa wapi?

Pia sio kila jambo la kufanya siri,
 
Kwahiyo hao wachawi hizo nguvu wanatoa wapi?hayo maarifa wanatoa wapi?

Pia sio kila jambo la kufanya siri,
Kwa shetani.
Zaidi unaweza ukasoma asili na mwanzo wa uchawi Duniani.
Uchawi uliletwa Duniani na malaika wawili ndio waliowafunza wanadamu elimu ya uchawi
 
Kwa shetani.
Zaidi unaweza ukasoma asili na mwanzo wa uchawi Duniani.
Uchawi uliletwa Duniani na malaika wawili ndio waliowafunza wanadamu elimu ya uchawi

Story za kusadikika hizi je huyo shetani hiyo elimu aliitoa wapi?hao malaika wawili waliwafunza hiyo elimu wanadamu gani sehemu gani?
 
Story za kusadikika hizi je huyo shetani hiyo elimu aliitoa wapi?hao malaika wawili waliwafunza hiyo elimu wanadamu gani sehemu gani?
Waliwafunza zama za kale.
Shetani alikuwepo kwa Mungu anajua Siri zote kuhusu yote yaliyopo Duniani thus anaitwa mungu wa dunia hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…