Wanafunzi wa kike waua mwalimu wao... Adaiwa kutaka kumbaka mwenzao

Hivi jiulize huyo msichana aliitwa kupeleka usiku huo hiyo barua au alitaka kumkomesha prof wa watu?

yote yawezekana sema marehemu hana haki
ila na walimu hasa wa elimu ya juu wanapenda sana vya kunyea kaaaaaaaaaaaaaaaaa
wewe mtu anagonga mlango karibu mpaka ndani
 
Je mwandishi amem quote nani au ameparaphrase? Waandishi wenyewe hawa; si ajabu habari hiyo ishawekwa miguu na masikio bado macho.

 
yote yawezekana sema marehemu hana haki
ila na walimu hasa wa elimu ya juu wanapenda sana vya kunyea kaaaaaaaaaaaaaaaaa
wewe mtu anagonga mlango karibu mpaka ndani
Asingemfungulia kama anafata maadili, walitakiwa wamalizane mchana ofisini, kifo kilikuwa kinamwita
 
Tuelewavyo sisi, ni kwamba hii kitu ilisukwa na ina mtu mwingine ambaye si mwanafunzi ana atajulikana very soon
...Let me stick here! Umeona mbali MTM
 
kwa mie sioni hata sababu moja ya kumtetea mwanafunzi,na pia sioni pia kosa lolote la mkufunzi hii ni kwa sababu zifuatazo;
Mwanafunz wa chuo ni mtu mzima kabisa
kwa maana hii mkufunzi kutembelewa na mwanafunzi usiku alafu usifungue mlango au kumwambia asiingie ndani sidhani kama ni kosa kwake wala mtu mwingine yeyote, kwa desturi ya mwanadamu mtu anapokuja kwako bila kujua nia ya ujion wake lazima utamkaribisha ndani na kumsikiliza aliyojia., tunaweza tusijue hasa kilichojiri but pengine mpaka mwanafunzi kufunguliwa na kuingia ndani kulikuwa na maelezo ya ziada toka kwa mwanafunzi na sio maandishi tu,ndipo alipokaribishwa ndani
kwa maana hii basi hakukuwa na udhalilishwaji wa kijinsia bali ni kujidhalilisha kwa mwanafunzi mwenyewe kwa kwenda kwa mwalimu usiku
 
<br />
<br />
Waue2 mimi mwenyewe mwl ndo alinifukuzisha shule,kwa kusimamia kesi ya mwanafunzi mwenzangu ambaye ni mpenzi wake pia.ni funzo zuri.
 

mkuu masahihisho kidogo hapo kwenye RED hiyo ni DESTURI ya Mtanzania tena sio wote, kwa nini uingize ndani mtu ambaye kaja usiku kwako, ongea naye nje.
kwa wazungu kumwendea usiku tena kama mnamahusiano ya kikazi anaweza kukuitia polisi, labda muwe marafiki.
kwa ili la mwalimu huyo mwanafunzi kwenda kwake nadhani alijua kwa nini maana alikua amemwagiza kuandika barua haraka iwezekanavyo kabla ajamfukuza kwa misingi hiyo mimi nasimama kwenye upande kwamba mwalimu alijua kuna msosi siku hiyo maana kiofisi huyo mwanafunzi alikuwa kwenye matatizo na yeye ni suhuhisho hii ni tabia yake.
 
Hao Mabinti wamtafute Lawyer mzuri la sivyo wataozea jela...

mimi nadhani hii ni kesi rahisi kushinda maana marehemu anaongei na binti akitunga story yoyote nzuri kuhusu kusudio la mwalimu kumbaka anaweza kupona bila shida kwa misingi kwamba hakumpiga yeye mwalimu aliomba masaada na kulikuwa na wanakijiji pia ni siraha gani iliyo muua mwalimu bada ni kitendawili.
walimu oeni hacheni mtakwisha na mtulie
 
Du hii kali.kikawaida haileti maana,kwanini apelekee barua nyumbani kwa mwalimu?kwanini aipelekee usiku?haiwezekani aingie tu alafu mzee ajaribu kumbaaka bila hata ya kumzingua kwa maneno kwanza..huyo dada ana kesi kubwa hapo
Hii ni kweli na kwanini alikwenda pekee yake wakati anajua fika mwl anaishi pekeyake?Hii inaonyeshaa ulikuwa mpango wa kumkomesha Dr.tumempoteza mtaalamu.RIP Dr
 
Polisi hawajafanya kazi yao ipasavyo...

Walichofanya wao ni kuchukua maelezo waliyopewa na wahusika na kisha kusema ni uchunguzi (Kawaida yao)

Kuna umbali gani kutoka makazi ya Dr. Jumbe mpaka bwenini?

Inasemekana pia kuna walinzi katika nyumba za wakufunzi. Wamehojiwa? Wamesemaje?

Wanafunzi hao ambao ni wa kike walikuwa wangapi mpaka waweze kumdhibiti Dr. kiasi hicho?

Na mapanga wameyatoa wapi?
 

Karibia unaanza kuchemsha sana. Hiyo Avatar nimekuazima kwa mda mfupi tu, naweza kukunyang'anya hata leo. Chambua mambo vizuri halafu nitakuongezea muda wa kuendelea kuitumia!
 
mkuu barua za kiofisi na nyumbani kwa DR usiku wapi na wapi?
kunamchezo wa kuwatumia dada zetu wasio na ujasiri wa maisha na ina dalili zote
yawezekana katika ili tukio hakuna kitu lakini kama kanuni zingefuatwa sidhani kama haya yangetokea

exactly, kwa nini kama ni maelezo hakupekela ofisini muda wa kazi....
Huyu mwananfunzi ana agenda ya siri na itabidi aseme tu vizuri lkilichotokea
the guy was married and had beautiful kids, yani mmemuua kijana wa watu bila sababu kisa wanakijua hao wanafunzi. Hope sheria itasimama mahala pake and justice will be servred
 
Ilikuwaje huyo dada apeleke barua nyumbani kwa mkufunzi tena usiku?na je,hao wanafunzi waliompiga wana uhakika gani kama kweli alitaka kumbaka?na je hawakuona njia nyingine ya kutumia zaidi ya kumpiga?hapo pana mushkhel kidogo?
 
Ilikuwaje huyo dada apeleke barua nyumbani kwa mkufunzi tena usiku?na je,hao wanafunzi waliompiga wana uhakika gani kama kweli alitaka kumbaka?na je hawakuona njia nyingine ya kutumia zaidi ya kumpiga?hapo pana mushkhel kidogo?

kulikuwa na wanakijiji pia mkuu
polisi wanao wafanye kazi zao vizuri wanatuwataogopa kuvunja sheria
na ujinga wa aina hii utapungua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…