SANCTUS ANACLETUS
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,338
- 4,676
Acha kupotosha mkuu
Heshimu imani za wengine kama wewe unavyoheshimiwa na wenzio
Shule za Sekondari zinazomlikiwa na Wakatoliki wameshaanza machakato wa kutokupokea wanafunzi wa Kisabato.....They are very distractive kila mahali.....Zamani Shule za Kikatoliki zlikuwa zinawapokea ila sasa wanachujwa sana..itafika mahali "no Admission kwa SDA"
Muende kwenye shule zenu za makambi na lessoni.....msituharibie Taifa bure
Kuna nilichoongopea hapa..??Una matatizo makubwa sana. Kujiandaa kubisha, kulaghai na kukandia; ni ugonjwa. Unaumwa ugonjwa mkubwa sana.
Uwepo wa hiki kikundi kikiwa bado kina mitazamo ya ya yule mwanamke tutapata shida sana.....
Imagine dini ya Kisabato imeanzishwa na mwanamke....mwanamke yule kwanza alikuwa na historia ya kuwa na magonjwa ya akili..imagine leo hii watu wanafuata mawazo ya mtu alipatwa na kichaa...matokeo take ndio haya ya kugomea mitihani kwenye chuo cha Kikristo...
Cult religiom ni religion ambayo inabdili kila siku doctrine zake...SDA ipo katika kipindi kigumu cha kubadili sura ya mafundisho yake...kwasasa sermon za Kisabato zimechukua mrengo wa Kipentekoste.....Huku nembo ya awali ya mailaika watatu ikibadiloshwa na kuwekwa logo mpya..
SDA ilikuwa hakuna msalaba kwenye kila kitu chao..ila Logo yao leo ina msalaba...linaendelea kujibadilisha taratibu.. ..
KWANI TEKU NI CATHOLIC?Catholic Church imejifanya mungu mtu duniani kujiona bora kuliko wengine, kama ilivyo Ijumaa kuifanya siku ya kazi ipo siku haki itatendeka
Sabato inaanza Ijumaa saa12Nadhani umechanganya folders kama ni Jumatatu hadi Ijumaa TATIZO LIKO WAPI KWA WASABATO?
Wewe una laana jiangalie
Mkuu, Wasabato ni laana ya duniaWewe ndiyo umenena ingekuwa hivyo hata waislam nao wangeigomea ijumaa, lakini cha ajabu waislam ijumaa wanatinga class muda wa swala ukifika wanakwenda kunako mskiti bila shida, hawa wenzetu wanaharibu siku nzima eti Sabato acha wakione cha moto na misimamo yao isiyokuwa na tija kwenye familia zao na ustawi wa kilichowatoa makwao.
Una mdharau mwanamke ?Hapana....Wasabato wasipobadilisha fikra na mitazamo ya yule Mama White wataendelea kuwa viumbe wa ajabu sana hapa duniani
We umeona wapi kanisa linaanzishwa na mwanamke tena anajipachika unabii na vidume vipo vinashangilia..
Matokeo yake ndio haya wanagomea mitihani
Vyuo vya kisabato vipo waende huko. Ni sawasawa uende kusoma shule yenye misingi ya kiislamu ukatae kujifunza Quran, au usome za kikristo ukatae kusoma biblia, kujifunza sala na kufanya mtihani wake.Ya kaisari apewe kaisari na ya Mungu apewe Mungu, waache kuchanganya dini na taaluma, vyuoni si mahala pa kudumu ni sehemu za kupita tu na kila sehemu kuna taratibu zake, kila mtu kila sehemu akisema afanye kwa jinsi anavyoamini unadhani kuna la maana litaendelea kweli?
UNAPOSAJILI CHUO AU SHULE KWENYE TAASISI ZA UMMA ZENYE MAMLAKA WANAULIZA MITAALA YA DINI? AU WANUFUATA SHERIA ZA USAJILIVyuo vya kisabato vipo waende huko. Ni sawasawa uende kusoma shule yenye misingi ya kiislamu ukatae kujifunza Quran, au usome za kikristo ukatae kusoma biblia, kujifunza sala na kufanya mtihani wake.
Kama umefata elimu hakuna kitakachokusumbua
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijajua, mwenye kujua atueleweshe. Lkn kuepuka hayo kama wewe ni mfata dini mzuri ni bora kuchagua chuo/shule ambayo taratibu zao hazitakukwaza.UNAPOSAJILI CHUO AU SHULE KWENYE TAASISI ZA UMMA ZENYE MAMLAKA WANAULIZA MITAALA YA DINI? AU WANUFUATA SHERIA ZA USAJILI
Unamaanissha hakuna uhuru wa kuabudu kama katiba ya nchi isemavyo?Nadhani wanafunzi waache ujinga, mtihani siku ya J1 wala J2 au siku zingine haina shida. Mbona waislam wanafanya kazi Ijumaa? Mbona shuguli za chaguzi hufanyika J2?
Sabato ya kweli ni pumziko moyoni, lipatikanalo ndani ya Yesu pekee ambaye ni Bwana wa sabato. Siku zote ni za Mungu, hakuna hata moja ambayo ni ya shetani, na siku zote inabidi tumwabudu Muumba.
Kakika nchi za kiarabu, wakristo hukusanyika siku ya Ijumaa (J1 na J2) ni siku za kazi.
Alafu wakati leo hapa ni J1 kwingine ni Ijuma au J2. So kasome maandiko vizuri, wahsauri wanafunzi wenu wakafanye mitihani siku yoyote itakapotolewa.
Pia Yesu alisema msingi wa sabato ni kufanya mema, kama vile "kumokoa punda shimoni", mtijani wako na wa thamani sana kuliko thamani ya Punda!
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Huo uhuru una Mahala pake....Hebu waende wakafanye huo ushenzi wa Kisabato na u-extrimist wa Ellen G White kwenye taasisi yyte ya Kikatoliki uone moto wake...Waulize historia iliyowakuta Wasabato SAUT ndo utajua.....Unamaanissha hakuna uhuru wa kuabudu kama katiba ya nchi isemavyo?
Sent using Jamii Forums mobile app