SEAMAN WA SAMB
Member
- Apr 26, 2013
- 91
- 8
so hapa ni scratch my back I scratch yours?si wana cha kwao kinaitwa university of arusha yaani ni usabato tupu wanaamini dini nyingine hamna kwao kazi ijumaa na jumapili ni kama kawa hao wanaleta umbulula labda wao ni masalia
"DONT ALLOW THE INTEGRITY OF YOUR OWN WAYS OF SEING AND SEING THINGS TO BE SWAMPED BY THE INFLUENCE OF MASTER HOWEVER THE GREAT"GEORGE P LATHROAD
hadi Jumapili kuna mitihani?si wana cha kwao kinaitwa university of arusha yaani ni usabato tupu wanaamini dini nyingine hamna kwao kazi ijumaa na jumapili ni kama kawa hao wanaleta umbulula labda wao ni masalia
"DONT ALLOW THE INTEGRITY OF YOUR OWN WAYS OF SEING AND SEING THINGS TO BE SWAMPED BY THE INFLUENCE OF MASTER HOWEVER THE GREAT"GEORGE P LATHROAD
Ni kweli ya Kaisari apewe Kaisari na ya Mungu apewe Mungu; Kwa vile Sabato ni ya Yesu wako sawa kumheshimu kwa hakika ya Kaisari ni kodi si Sabato.Ya kaisari apewe kaisari na ya Mungu apewe Mungu, waache kuchanganya dini na taaluma, vyuoni si mahala pa kudumu ni sehemu za kupita tu na kila sehemu kuna taratibu zake, kila mtu kila sehemu akisema afanye kwa jinsi anavyoamini unadhani kuna la maana litaendelea kweli?
Kwanza kabla ya mjadala kuendelea, ningependa kujua ni vitu gani ambavyo si ruhusa kwa SABATOS kuvifanya siku ya jumamosi, tukisha jua hilo then, tutaweza kuuweka mtihani katika kundi gani, baadae kutoa maamuzi, karibu..
maarufa yapi mkuu?
Kwa uelewa wangu mtihani haupo katika vilivyozuiliwa kufanya siku ya saba. mna-complicate tu imani yenu safi ya sabato na kuonekana kama ni tatizo.. Ile mijikazi ya nguvu inayokufanya hata unavua shati kwa mijasho ndio iliyokatazwa.Kutoka 20:8-11
"Ikumbuke siku ya sabato uitakase siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote lakini siku ya saba ni sabato ya Bwana, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako wala mjakazi wako wala mnyama wako wa kufuga wala mgeni aliye ndani ya malango yako. maana kwa siku sita Mungu alifanya mbingu na nchi na bahari na vyote vilivyomo akastarehe siku ya saba kwa hiyo Bwana Mungu akaibariki siku ya sabatu akaitakasa."
Kutoka 20:8-11
"Ikumbuke siku ya sabato uitakase siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote lakini siku ya saba ni sabato ya Bwana, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako wala mjakazi wako wala mnyama wako wa kufuga wala mgeni aliye ndani ya malango yako. maana kwa siku sita Mungu alifanya mbingu na nchi na bahari na vyote vilivyomo akastarehe siku ya saba kwa hiyo Bwana Mungu akaibariki siku ya sabatu akaitakasa."
Kutoka 20:8-11
"Ikumbuke siku ya sabato uitakase siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote lakini siku ya saba ni sabato ya Bwana, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako wala mjakazi wako wala mnyama wako wa kufuga wala mgeni aliye ndani ya malango yako. maana kwa siku sita Mungu alifanya mbingu na nchi na bahari na vyote vilivyomo akastarehe siku ya saba kwa hiyo Bwana Mungu akaibariki siku ya sabatu akaitakasa."
Kwa uelewa wangu mtihani haupo katika vilivyozuiliwa kufanya siku ya saba. mna-complicate tu imani yenu safi ya sabato na kuonekana kama ni tatizo.. Ile mijikazi ya nguvu inayokufanya hata unavua shati kwa mijasho ndio iliyokatazwa.
Mimi neno AKASTAREHE sikubaliani nalo, labda lipatikane mbadala sio hilo..hapo andiko si linasema AKASTAREHE? au tutafute maana yake?
Wayahudi wote wafundisha ya kwamba sheria zote za Sabato zaweza kuvunjwa kama maisha ya kibinadamu yako hatarini.rest-pumzika, wewe unakubaliana na lipi?
kila mtu na aheshimu dini ya mwenzake. Hao wanafunzi wanajua misingi ya imani yao ndo maana wakakataa paper. Nawe kama umefundishwa kupuuza imani yako endelea hivyo2 maana at the end kila mtu atatetea nafsi yake.