Wanafunzi wa Kisabato Wafukuzwa TEKU kwa Kukataa Kufanya Mitihani Siku ya Sabato naomba muongozo wa kisheria

Wanafunzi wa Kisabato Wafukuzwa TEKU kwa Kukataa Kufanya Mitihani Siku ya Sabato naomba muongozo wa kisheria

Nikirejea Ibara ya 19 ya Katiba yetu ya JMT ya Mwaka 1977 inatoia Uhuru wa Mtu Kuabudu.......

Hali kwa Chuo Kikuu cha Theophile Kisanji ni Tofauti kwani wanafunzi wapatao 8 wamefukuzwa Chuoni hapo kwa madai ya kutofanya mitihani iliyopangwa kufanyika siku ya Jumamosi Sabato kwamba kwa kanuni za Chuo hicho hiyo si sababu ya kumfanya mwanafunzi asifanye mitihani

Wanafunzi hao wapo mitaani kwa sasa wakisaka msaada wa kisheria


  1. Je yamkini wakati wanafunzi hao wanapokelewa hilo halikuwekwa bayana?
  2. Mbona Mitihani isiwe Jumapili?
  3. Wapi Uhuru wa Kuabudu kwa mujibu wa Katiba JMT na sheria?

Je mnawashauri nini wanajamvi?
Ni wapuuzi tu. Hayo ndio matokeo ya imani kali ya dini, wakiambiwa wajilipue watakwenda mbinguni hakika watajilipua. Wale wakristo tumeambiwa 'mpeni kaisari yaliyokua ya kaisari na mpeni mungu yaliyokua ya mungu' lakini mtu anataka kumpa mungu ya kaisari.
 
siyo kazi ya chuo kujuwa wewe ni sabato, mkristo. muislam, mpagani au la wewe unatakiwa kufuata sheria na taratibu unazozikuta pale, na unapokuwa unaaply chuoni jaribuni kusoma taratibu na mjitahidi hata kuwaulizia wenzenu walio watangulia kujuwa utaratibu wa chuo husika, siyo kuanza kuleta masuala ya ikitadi vyuoni, leo sabato, kesho masjid, keshokutwa kanisani,n.k sasa shule itapatikana kweli, sasa kama unaona huwezi kufanyakazi jumamosi unasoma ili iweje? ukiitwa kazini jumamosi kwamba kuna dharula inamaana hutaenda kuhudumia jamii, achene ujinga nyie someni kwanza
 
siyo kazi ya chuo kujuwa wewe ni sabato, mkristo. muislam, mpagani au la wewe unatakiwa kufuata sheria na taratibu unazozikuta pale, na unapokuwa unaaply chuoni jaribuni kusoma taratibu na mjitahidi hata kuwaulizia wenzenu walio watangulia kujuwa utaratibu wa chuo husika, siyo kuanza kuleta masuala ya ikitadi vyuoni, leo sabato, kesho masjid, keshokutwa kanisani,n.k sasa shule itapatikana kweli, sasa kama unaona huwezi kufanyakazi jumamosi unasoma ili iweje? ukiitwa kazini jumamosi kwamba kuna dharula inamaana hutaenda kuhudumia jamii, achene ujinga nyie someni kwanza

Kama kweli wao ni wacha mungu kama wanavyodai kwa nini wasiende kusomea uinjilisti kwenye vyuo vya kisabato ili wahubiri injili?Hii inanikumbusha jamaa mmoja msabato aliajiriwa mgodini kama accountant akaleta usabato wake kazini yeye siku ya jmosi haendi kazini ila anashinda anafukuzia loose-balls! Kwa kama miezi 3 walimvumilia kwa vile mkuu wake alikuwa mbongo then akaja mkuu mpya ambaye alikuwa mu-Austaralia: Mzungu alimuuliza what the HELL IS SDA? Na akamwambia achague either kazi au SDA!! Jamaa akawa mpole!
 
walipokuwa waapply hicho chuo hawakujua rules?kitendo cha wao kujiunga na TEKU maana yake TERMS AND CONDITIONS APPLY.waache mambo yao.Hiyo Udsm ipi unayosemea wewe?sie faculty of law tuliwahi kufanya test sikukuu na hakuna aliyebisha.sasa waendelee kukomaa lakini mwisho wa siku wao ndio wahanga.AKILI NYINGI NGUVU KIDOOOOGO!!
 
Historia iko wazi kuwa Sabato ya Biblia ni Jumamosi. Ndio maana Wakristo wote wanatambua Ijumaa Kuu kama siku aliyokufa Yesu, Akalala kaburini Jumamosi na Kufufuka Jumapili. Hivyo, Sabato ya Kweli ni Jumamosi, hapo hakuna ubishi. Wote wanaosali Jumapili wanajua wazi kuwa ni siku ya kuabudu jua (sun-day) ambayo ilikuwa ni ibada ya mizimu zama zile. Kuhusu wale wapendwa kufukuzwa kwa sababu ya kugoma kufanya mtihani siku ya Jumamosi, wako sahihi kabisa. Imani yao inawataka wasifanye kazi yoyote siku ya Sabato (Angalia Kutoka 20:8-11). Hivyo, waliowafukuza wamevunja Katiba ya nchi. Ingekuwa mimi, ningewaburuza kotini hadi wangefunga hicho chuo kwa fidia kubwa watakayotakiwa kunilipa.

Hivi karibuni Waislamu walipiga kelele kuwa waachiwe kuchinja, kwani hiyo ni ibada kwao. Wengi humu JF mlitetea sana hoja hiyo, mbona hawa jamaa Wa Sabato mnashindwa kuwatendea haki? kwao kupumzika siku ya Jumamosi ni Ibada na utii kwa Mungu wao. Wapewe haki yao.

Hakuna mahali utakuta uhuru wa ain hiyo, ati kila kundi liwe na siku yake ya kuabudu na serikali i accomodate. Vipi sisi wa dini za asili, siku zetu za kwenda kutambika tusiende kazini pia?
 
TEKU waliamua kufuata mkondo wa chuo cha kitaifa hivyo inabidi wawavumilie wenye imani tofauti. La sivyo watamke wao ni chuo kikuu cha wamoravian nasi hatutakiuwa na lingine bali kuwaachia chuo.
Chuo cha Kitaifa kinakuwaje kwenye hili?
 
Nikirejea Ibara ya 19 ya Katiba yetu ya JMT ya Mwaka 1977 inatoia Uhuru wa Mtu Kuabudu.......

Hali kwa Chuo Kikuu cha Theophile Kisanji ni Tofauti kwani wanafunzi wapatao 8 wamefukuzwa Chuoni hapo kwa madai ya kutofanya mitihani iliyopangwa kufanyika siku ya Jumamosi Sabato kwamba kwa kanuni za Chuo hicho hiyo si sababu ya kumfanya mwanafunzi asifanye mitihani

Wanafunzi hao wapo mitaani kwa sasa wakisaka msaada wa kisheria


  1. Je yamkini wakati wanafunzi hao wanapokelewa hilo halikuwekwa bayana?
  2. Mbona Mitihani isiwe Jumapili?
  3. Wapi Uhuru wa Kuabudu kwa mujibu wa Katiba JMT na sheria?

Je mnawashauri nini wanajamvi?

........
Hawa wanaleta ushamba na dini...
 
Nadhani wanafunzi waache ujinga, mtihani siku ya J1 wala J2 au siku zingine haina shida. Mbona waislam wanafanya kazi Ijumaa? Mbona shuguli za chaguzi hufanyika J2?

Sabato ya kweli ni pumziko moyoni, lipatikanalo ndani ya Yesu pekee ambaye ni Bwana wa sabato. Siku zote ni za Mungu, hakuna hata moja ambayo ni ya shetani, na siku zote inabidi tumwabudu Muumba.

Kakika nchi za kiarabu, wakristo hukusanyika siku ya Ijumaa (J1 na J2) ni siku za kazi.

Alafu wakati leo hapa ni J1 kwingine ni Ijuma au J2. So kasome maandiko vizuri, wahsauri wanafunzi wenu wakafanye mitihani siku yoyote itakapotolewa.

Pia Yesu alisema msingi wa sabato ni kufanya mema, kama vile "kumokoa punda shimoni", mtijani wako na wa thamani sana kuliko thamani ya Punda!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Umenena vema.
 
Kuna jamaa yangu ni msabato na anaishi na demu wake geto moja.linapofika swala la kufanya mitihani au presentation jumamosi alikua anagombana sana na ma doctor.siku moja nikamwambia mbona unaishi na mwanamke na mnazini huoni hiyo ni dhambi au dhambi ni kufanya kazi jumamosi?amenichukia mpaka leo.wakati mwingine haya mambo ya imani tunajichanganya sana.

Biblia inasema Hakuna mwanadamu anayehasabiwa haki kwa Matendo ya Sheria.
 
Walisoma By Laws za chuo wakati wa kujiunga au kurudisha form za kujoin na chuo? Wao kwa nini hawakuchagua vyuo vya kisababto kama wanapenda usabato? Chezea warumi weweee utageuka kuwa six leaver hata mahakama ifikie wapi!!

SAUT Mwanza walileta hizo nyodo, wakafukuzwa bila kurudishiwa chao. Wachache wakaomba msamaha wakasamehewa.

Afu wengi wa wanafunzi (Wasabato ) walio goma walikuwa wanaishi kama mke na mme bila ndoa, hivyo kukutanisha vikojoleo kwao ilikuwa kama kawa licha ya amri za Mungu kukataza. Tena kipindi hicho jmosi haikuwa siku ya masomo ila mwl aliweza kuomba wanafunzi kusoma siku hiyo. Tangia wasabato walete kimbelembele hadi leo jmosi ikawekwa kwenye time table kama siku ya j3 hadi Ijumamosi mapindi kama dawa na paper kama kawa J3 hadi Jmosi.

Bwana Yesu Asiwe.

Ameeen.
 
Kama kweli wao ni wacha mungu kama wanavyodai kwa nini wasiende kusomea uinjilisti kwenye vyuo vya kisabato ili wahubiri injili?Hii inanikumbusha jamaa mmoja msabato aliajiriwa mgodini kama accountant akaleta usabato wake kazini yeye siku ya jmosi haendi kazini ila anashinda anafukuzia loose-balls! Kwa kama miezi 3 walimvumilia kwa vile mkuu wake alikuwa mbongo then akaja mkuu mpya ambaye alikuwa mu-Austaralia: Mzungu alimuuliza what the HELL IS SDA? Na akamwambia achague either kazi au SDA!! Jamaa akawa mpole!

Kwakweli kati ya vitu vinavyoturudisha Nyuma na kuwa Pazia machoni mwetu ili Mabepari waendelee kuchota Malighafi zetu ni DINI. NAJUA WAPO WATAKAO PINGA SANA LAKINI UKWELI NDO HUO.
 
Kila kitu kinawezekana chini ya roho mtakatifu.Kama roho mtakatifu aliwaongoza kuona mitihani si sehemu ya kutenda mema basi wako sahihi.Wasi wasi wangu ni je kweli roho mtakatifu amewaongoza hivyo?Wengi wa waadvetista wasabato,wanaongozwa na vitabu vijulikanavyo kama' roho ya unabii'Nilikuja kugundua baadhi ya maandiko humo yanayotia shaka!Nilipojifunza zaidi nikagundua kuwa hata anayedhaniwa kuviandika(Ellen White)atawashangaza pale atakapoyakana baadhi ya maandiko yake!Nimegundua Illuminat walitia mkono wao kwa ustadi mkubwa sana!Nawashauri waitegemee biblia pekee kwani ndicho kitabu ambacho watajaribu kukichakachua lakini Mungu hawezi kuruhusu wafanikiwe hadi nyakati za Bwana zitimie.Biblia ukiisoma kwa unyenyekevu,itatoa majibu kwa mashaka yote.Kwani sisi leo tumepewa siku moja tu 'LEO'ndiyo siku ya kumpa Mungu utukufu.Tuangalie shetani asije akatumia maandiko ku divert attention yetu tukatumia akili za kibinadamu na kusahau jinsi tulivyoahidiwa roho mtakatifu!Kwani yeye anafurahia kutokufanikiwa kwetu kimwili na kiroho.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Biblia inasema 'Amelaaniwa kila aliye chini ya Sheria na asiitimilize yote'. R/Mtakatifu hakai ktk mwili wenye laana. Leo hii tunashuhudia wazinzi wengi sana, mbona sijasikia wakiwapiga mawe ilihali Sheria inasema apigwe mawe mpaka afe!?
 
Ao hawajui kua hata vtab vyao vinawa asa wamshike sana elim
 
Wanataka kuweka sheria za kanisa chuo?! Si wakasomee kwenye vyuo vya uchungaji?!

Watu wa hivi wananiudhi sana, unakuta kwenye mambo mengine yote anafanya kinyume ila likija suala la siku ya sabato na mtihani basi hapo ndipo anaposimamia sabato!

Nataman kila mmoja angejua kuwa hizo ni siku tu, wala hazina uhusiano wowote na utakatifu! Jitahidi Kuwa na matendo mema, mengine yaliyobaki ni kwa neema tu ya Mungu wala sio kwa nguvu zetu!
 
Biblia inasema Hakuna mwanadamu anayehasabiwa haki kwa Matendo ya Sheria.

ni sahihi, yakupasa uwe na iman pia. Ukivichanganya vyote kwa pamoja, unapata haki kote kote. Wasabato wanaongozwa na sheria ya MUSA ambayo haiwez kuwakamilisha mbele za MUNGU. Wabadilike au waanzishe vyuo vyao
 
Aleyn na huku tena Upo? Natumain sasa hauna ubishi juu ya Sabato! Hiyo Wagalatia yote unayo ishikiria hakuna ata sehemu moja inayopinga sheria na vitabu vote vya Paul hakuna ata sehemu akipinga sheria! Ni wewe tu unavolitafsri neno vibaya.
Naomba utafute kitabu kiitwach, A day to remember kimeandikwa na George E Vandeman! Ata kwenye Internet kutafute. Hayo mambo unayapinga hapa utapata majibu! Agano, sheria, haki, mitume. Na mengine yote utapata hapo juu ya Sabato!
Narudia tena Aleyn soma hicho kitabu na wengine wote wanayoipinga au kutaka kujua Sabato!
 
Biblia inasema 'Amelaaniwa kila aliye chini ya Sheria na asiitimilize yote'. R/Mtakatifu hakai ktk mwili wenye laana. Leo hii tunashuhudia wazinzi wengi sana, mbona sijasikia wakiwapiga mawe ilihali Sheria inasema apigwe mawe mpaka afe!?

Naomba utafute kitabu kiitwacho When God made rest by George E Vandeman na kingine kiitwacho A day to remember By George E Vandeman! Vitakusaidia katika Haya yote!
 
Nani kasema sabato ipo hadi leo? soma wakolosai 2:16-17 sabato ilifutwa mwaka 33 AD

Wakolosai hiyo haisemi kua Sabato imefutwa huo ni uongo wa wazi kupotosha watu ni sawa na ule wa kusema Yesu alivunja Sabato kitu ambacho Si kweli!
Therefore let no one judge you in food or in drink, or regarding a festival or new moon or sabbaths.
Which are a shadow of things to come but the substance is of Christ. Colossians2:16-17
Haya Sabato imefutwa wapi sasa hapo?
 
Nadhani wanafunzi waache ujinga, mtihani siku ya J1 wala J2 au siku zingine haina shida. Mbona waislam wanafanya kazi Ijumaa? Mbona shuguli za chaguzi hufanyika J2?

Sabato ya kweli ni pumziko moyoni, lipatikanalo ndani ya Yesu pekee ambaye ni Bwana wa sabato. Siku zote ni za Mungu, hakuna hata moja ambayo ni ya shetani, na siku zote inabidi tumwabudu Muumba. Kakika nchi za kiarabu, wakristo hukusanyika siku ya Ijumaa (J1 na J2) ni siku za kazi. Alafu wakati leo hapa ni J1 kwingine ni Ijuma au J2. So kasome maandiko vizuri, wahsauri wanafunzi wenu wakafanye mitihani siku yoyote itakapotolewa. Pia Yesu alisema msingi wa sabato ni kufanya mema, kama vile "kumokoa punda shimoni", mtijani wako na wa thamani sana kuliko thamani ya Punda!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

.......................................................................................................................................


Asante sana Maswala kwa mchango wako mzuri...nami nina ya kuongea kidogo kuhusu hili...

Ndugu zangu kwanza tuelewe kile ni chuo cha BINAFSI na sio cha serikali....hivyo basi kina taratibu zake na kanuni zake na sheria zake. Hii ina maana yeyote anayejiunga na chuo ambacho ni binafsi shurti akubaliane na kanuni, taratibu na sheria za mahali hapo...HAIWEZWKANI UENDE MAHALI SIO KWAKO HALAFU UANZISHE SHERIA ZAKO....HAIWEZEKANI.. Haina tofauti na wanafunzi wa kiislamu wanaoenda kusomea udaktari wa mifugo (akiwemo nguruwe) halafu wanagoma kumtibu au kumshika nguruwe kisa ni "haramu" kwa imani yao...HUU NI UJINGA.

Haiwezekani wewe mkristo uende ukasome au umpeleke mwanao shule za kiislamu halafu mwanao aache kuvaa hijabu...maana hizo ndizo taratibu zao...Haiwezekani wewe muislamu uende ukasome au umpeleke mwanao akasome ktk shule za seminary za kikristo aache kwenda kanisani jumapili au kuingia vipindi vya maombi kila alfajiri...NASEMA HAIWEZEKANI.

Tukianza ku-entertain haya mambo ina maanisha... kama ni mashuleni au vyuoni basi masomo yafundishwe jumatatu hadi alhamisi tu na mitihani itungwe ndani ya siku hizo tu maana Ijumaa-Waislamu, Jumamosi-Wasabato na Jumapili-RC/Protestants...Hii kitu HAIWEZEKANI. Pia hatutaishia vyuoni...tutasogea hadi makazini...na kwenye semina n.k n.k n.k...NASEMA HAIWEZEKANI.

Umekuja kunitembelea kwangu au umekuja kukaa kwangu NI LAZIMA NA SIO OMBI (LABDA MIMI NDIO NIONE HURUMA) UFUATE TARATIBU ZA NYUMBA YANGU... Sio umekuja leo kesho utarudi usiku wa manane...ukitegemea tutakufungulia mlango...kwako hapa? Vivyohivyo na hili la wasabato...kama wameona kile chuo hakitendi haki waende ktk vyuo vyao (Vya kisabato) alaa!!!
 
Back
Top Bottom