siyo kazi ya chuo kujuwa wewe ni sabato, mkristo. muislam, mpagani au la wewe unatakiwa kufuata sheria na taratibu unazozikuta pale, na unapokuwa unaaply chuoni jaribuni kusoma taratibu na mjitahidi hata kuwaulizia wenzenu walio watangulia kujuwa utaratibu wa chuo husika, siyo kuanza kuleta masuala ya ikitadi vyuoni, leo sabato, kesho masjid, keshokutwa kanisani,n.k sasa shule itapatikana kweli, sasa kama unaona huwezi kufanyakazi jumamosi unasoma ili iweje? ukiitwa kazini jumamosi kwamba kuna dharula inamaana hutaenda kuhudumia jamii, achene ujinga nyie someni kwanza