na wa dar nao hawajawahi kufika Mwanza, mbali na ukubwa wa bahari kwa uzuri ziwa Nyanza liko juu zaidi mkuu.hawajawahi kufika Dar, hakikisha wanaenda kuona bahari kabla ya kuondoka.
Na wao si wana bahari ya Victoria
hao wamekua na hamu ya kuja kuona Jiji tu; wanafunzi 120 wataingia Ofisi gani, kwanini wastume uwakilishi kwa ajili ya kuja kuonana na Mkurungezi? na kwanini wacje cku muruha za kazi badala yake wanakuja Wikiendi?????
Ndio matatizo ya watu msiofuatilia habari. Kama hujui uliza uambiwe...
Utalii wa ndani huu
hao wamekua na hamu ya kuja kuona Jiji tu; wanafunzi 120 wataingia Ofisi gani, kwanini wastume uwakilishi kwa ajili ya kuja kuonana na Mkurungezi? na kwanini wacje cku muruha za kazi badala yake wanakuja Wikiendi?????
hao magamba ndo walikuwa wanampinga wenje mwanzoni.. baada ya yeye kushinda ndo wakajifanya kuhamia cdm... SAUT bhana!!Ni kweli Wenje kawatupa hawa vijana, mkuu don-oba alianzisha uzi humu kumlaumu Wenje. Sasa nimeamini ni kweli.
Toeni feedback
Et utalii wa ndan hivi dar kuna lipi jipya ambalo mwanza halipo? jiji lenyewe limejaa mitaro tu
Mungu awasaidie hao wanafunzi maana wamezungushwa vya kutosha!
baasi wale mliowakejeli vijana hawa kwa kwenda bodi ya mkopo, na kwaita watalii, mala kwanini hawakutuma wawakilishi habari ni hii wamefika bodi wamesikilizwa na malipo yao ambao ni ya semister nzima ya kwanza na ya mwanzaon semister hii ya pili yamelipwa so vijana sasa wanamzigo wakutosha na safari yao hii imezaa matunda, ila wito kwa ofisi husika tusingoje mpaka makundi yaje ofisini kwetu, ndiyo tusikie vilio vyao, ebu tuwe wawajibikaji, nanyi vijana mliopata huu mkopo tumieni pesa vizuri.
Gharama ya guest na chakula hadi jumatatu si hasara? Wamfate huko huko nyumbani kwake. Drama unfolds.