Wanafunzi wa Sekondari waruhusiwe kutumia simu Mashuleni?

Wanafunzi wa Sekondari waruhusiwe kutumia simu Mashuleni?

Action and Reaction

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2021
Posts
1,438
Reaction score
1,496
Haka kamjadala kamenifikirisha sana, Je! waruhusiwe kutumia simu mashuleni? Naskia mashule ya mafeza boys, mshuke ya st. nani huko wanaruhusiwa kutumia simu ndomana wanafaulu sana ni kweli?

Akili ya wanafunzi wetu + smatphone what the output, sindo diamond atakuwa anaimba darasani

Unaruhu simu mashuleni halafu unataka mitihani ya form4 isivuje 😀

Screenshot_20220323-064221.png
 
Aliyetoa hilo wazo naamini ana agenda yake mbaya na ya siri.. Ama hana akili kabisa!

Nikiamini kwa dhati ya moyo kinachoomaanishwa hapa ni smartphone na sio hivi viswaswadu ni nani atasimamia management ya matumizi ya hizo simu!? Hapa ni kuongeza matatizo na si kuyatatua..!
 
Tatizo sio simu,shida ni self control za wanafunzi wenyewe na kujua umuhimu wa kutumia hizo simu wakiwa shuleni, tusiangalie tu madhara ,kutumia simu pia kuna faida zake vilevile.
Binafsi naona kama kweli simu zikitumika vizuri zinaweza kuleta faida kama ilivyokusudiwa.
Tumechelewa sana kuamua hili.
Humu duniani hakuna kisicho na madhara.
Naona nguvu inayotumika kuzuia simu ni kubwa mno kuliko kama ambavyo tungeruhusu zitumike kisha tuangalie namna ya kudhibiti madhara.

Nashangaa ninapoona mwanafunzi anapohitimu kidato cha nne akichaguliwa kuingia kidato Cha tano anaambiwa haruhusiwi kutumia/kumiliki simu wakati mwenzie waliyehitimu pamoja kidato Cha nne aliyechaguliwa kwenda chuo Cha kilimo, mifugo, uhasibu, VETA na kwingineko anaruhusiwa kutumia simu.

Huko nyuma ilizuiwa kuweka redio kwenye magari kwa hofu kuwa madereva watasababisha ajali kwa kusikiliza redio au muziki.

Nakumbuka miaka michache iliyopita, haikuruhusiwa kusogelea benki baada ya saa 12:00 jioni. Leo hali ikoje?

Kwenye familia nyingi wazazi/walezi hatuwapi simu wanetu.
Ajabu ni kuwa tunapotatizika kutumia simu zetu, wao ndio wanatuelekeza tufanyeje.
Wao ndio wanafahamu walikojifunzia namna ya kuzitumia.

Hatuna uwezo wa kuunda dunia yetu.
Wenzetu wanakabilije hali hii?
 
Tumechelewa sana kuamua hili.
Humu duniani hakuna kisicho na madhara. Naona nguvu inayotumika kuzuia simu ni kubwa mno kuliko kama ambavyo tungeruhusu zitumike kisha tuangalie namna ya kudhibiti madhara...
Simu kwa wanafunzi wa advance level naona hatari iliyopo ni kutowaruhusu. Sababu zinatumika sana huko mashuleni enzi hizo sisi tunasoma zilikuepo na mpaka sasa bado zipo.

Hili ni jambo la muda tu hata tukaze mishipa vipi huwezi zuia matumizi ya simu katika enzi hizi.
 
Aliyetoa hilo wazo naamini ana agenda yake mbaya na ya siri.. Ama hana akili kabisa...!
Nikiamini kwa dhati ya moyo kinachoomaanishwa hapa ni smartphone na sio hivi viswaswadu ni nani atasimamia management ya matumizi ya hizo simu!? Hapa ni kuongeza matatizo na si kuyatatua..!
noted Sir
 
Haka kamjadala kamenifikirisha sana, Je! waruhusiwe kutumia simu mashuleni?.... naskia mashule ya mafeza boys, mshuke ya st. nani huko wanaruhusiwa kutumia simu ndomana wanafaulu sana ni kweli?
Akili ya wanafunzi wetu + smatphone what the output... sindo diamond atakuwa anaimba darasani
Unaruhu simu mashuleni halafu unataka mitihani ya form4 isivuje 😀

View attachment 2161182
Tatizo hawa wakubwa watoto wao wanasoma mashule ya Ulaya ambapo wanafunzi wanaruhusiwa kutumia simu ivyo wanaweza kutuletea maajenda kama hayo....
 
Unakataza asiwe na simu shuleni lakini nyumbani anatumia
Mimi naona kuwe na mipaka Kama misikitini.wakati wa swala ZIMA SIMU YAKO.
 
Tatizo siyo kuruhusiwa kutumia simu.
Ni miaka mingi mashuleni kuna utaratibu wa wanafunzi kukabidhi simu zao kwa walimu kisha kutumia kwa utaratibu mzuri.
Wakati mwingine kutumia simu za walimu/walezi wao

Nadhani hapa agenga iliyofichika ni kuongeza uhuru wa matumizi ya simu shuleni. Jambo ambalo wahusika wanajua madhara yake, lakini kwa makusudi wanataka iwe hivyo.

Siyo kwa wanafunzi hawa na changamoto za elimu yetu.
 
Tumechelewa sana kuamua hili.
Humu duniani hakuna kisicho na madhara.
Naona nguvu inayotumika kuzuia simu ni kubwa mno kuliko kama ambavyo tungeruhusu zitumike kisha tuangalie namna ya kudhibiti madhara.

Nashangaa ninapoona mwanafunzi anapohitimu kidato cha nne akichaguliwa kuingia kidato Cha tano anaambiwa haruhusiwi kutumia/kumiliki simu wakati mwenzie waliyehitimu pamoja kidato Cha nne aliyechaguliwa kwenda chuo Cha kilimo, mifugo, uhasibu, VETA na kwingineko anaruhusiwa kutumia simu.

Huko nyuma ilizuiwa kuweka redio kwenye magari kwa hofu kuwa madereva watasababisha ajali kwa kusikiliza redio au muziki.

Nakumbuka miaka michache iliyopita, haikuruhusiwa kusogelea benki baada ya saa 12:00 jioni. Leo hali ikoje?

Kwenye familia nyingi wazazi/walezi hatuwapi simu wanetu.
Ajabu ni kuwa tunapotatizika kutumia simu zetu, wao ndio wanatuelekeza tufanyeje.
Wao ndio wanafahamu walikojifunzia namna ya kuzitumia.

Hatuna uwezo wa kuunda dunia yetu.
Wenzetu wanakabilije hali hii?
kaka simu ni kitu kingine aisee
 
Haka kamjadala kamenifikirisha sana, Je! waruhusiwe kutumia simu mashuleni? Naskia mashule ya mafeza boys, mshuke ya st. nani huko wanaruhusiwa kutumia simu ndomana wanafaulu sana ni kweli?

Akili ya wanafunzi wetu + smatphone what the output, sindo diamond atakuwa anaimba darasani

Unaruhu simu mashuleni halafu unataka mitihani ya form4 isivuje 😀

View attachment 2161182
Nani kawaruhusu kutumia condom?
 
Back
Top Bottom