Wanafunzi wa social science kukosa mkopo`

Mndengereko

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2011
Posts
7,296
Reaction score
3,398
wadau embu tulijadilini hili kwa mapana yake kuanzia mwakani wanafunzi wengi watakaoingia chuo watakosa mkopo regrdless umepata division 2 au 1 isipokuwa kwa wale wa education na baadhi science,kwa hiyo cousrse nyingi za social science na humanities kutopata mkopo ,nikiangalia hali za uchumi za wazazi wetu na jinsi wengi ya wanafunzi walivyokosa mkopo mwaka huu wengi walishindwa kuendelea na masomo hivyo kuishia njiani so sorry kwa victim wote wadau embu tupendekeze nini kifanyike nawasilisha
 
Tunakoelekea kila mtu atanyimwa mkopo, maana vigezo wanavibana kila mwaka. Tutafika siku watasema wenye div 1 pnt 3 pekee ndio watakopeshwa. Anyway, hawana miaka mingi madarakani.
 
Meanwhile tujiandae kusomesha watoto wetu! Serikali mpaka lini?
 
Kwa mwendo ule wa kuandamana kwenda lumumba inaweza kuleta mantiki kwa uhamuzi huu.Sasa Mbona hakukuwa na bango lililokuwa linazungumzia hili?Au halikuwa na Msingi?
 
nimekutana na hii kitu


MY TAKE: Tumefilisika kimawazo na kiakili kwa nguvu na kasi mpya na tunazidi kupata mtindio. Sina cha kupoteza na cha kusikitikia kwasababu sikumpa kura yangu 2005 na 2010
 
inasikitisha sana. ila wakati mwingine wanafunzi elimu ya juu tumekosa
ushirikiano hata kidogo, yaani divide and rule ya jk imeshafanikiwa kwa kiasi kikubwa sana.
yaani unamwona mwenzio anateseka kisa una mkopo hummuungi mkono.
kwanini lakini. tusipokuwa makini watoto wa magamba ndo watasoma.
timbwili timbwili lina wezekana na kufanya vyuoni pakachimbika.
vilvile tutnataka na wazzazi watuunge mkono,
siyo tu kulalamika tumekosa adabu huku tukiseka
 
iyo ni mikakati ya wakubwa ili watoto wa maskini wasipate nafasi
 
Bora mikopo ifutwe tu maana wazazi wanapozaa, wanategemea nani asomeshe? serikali? kwani serikali pindi wamefunga madirisha yao usiku ilikuwepo?.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
 
my take:kama serikali haiwezi kusomesha wanafunzi elimu ya juu basi hata wanafunzi wawe wanapewa chakula ka aboarding if posble alafu mzazi abaki na kazi ya kuclear stationary na ada kulikokumuwachia mzaz kila kitu wakati hali zetu tia maji tia maji
 
Ni kiherehere cha wazazi wetu walioipigia ccm kura na kuirudisha madarakani,otherwise yasingetokea haya.wacha tukomeshwe.
 
Yaan usome kiswahili na historia halafu upewe mkopo??
 
Ni kiherehere cha wazazi wetu walioipigia ccm kura na kuirudisha madarakani,otherwise yasingetokea haya.wacha tukomeshwe.
dogo leo umeongea point kwa mara ya kwanza kabisa, SALUTE YOU, I
 
Bora mikopo ifutwe tu maana wazazi wanapozaa, wanategemea nani asomeshe? serikali? kwani serikali pindi wamefunga madirisha yao usiku ilikuwepo?.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Kwani wewe unadhani mtoto akizaliwa ni wa mzazi peke yake? Mtoto ni wataifa zima na ndo maana ukimzaa ukamuua taifa litakuhukumu. Halafu usisahau kuwa wazazi wanazalisha na kulipa kodi. Kazi ya kodi hiyo ninini na usisahau kuwa kuna raslimali za taifa ambazo umilikiwa na serikali kwa niaba ya wananchi kama madidi, misitu, ardhi, nishati nk.. huko mapato hupatikana kwa wingi ambayo kiasi cha fedha kinachopatikana badala ya kumpa kila mtanzania huwekezwa kwenye huduma za pamoja kama elimu, afya na maji. hivyo ni wajibu wa serikali yoyote iliyo makini kumsomesha raia wake
 
Bora mikopo ifutwe tu maana wazazi wanapozaa, wanategemea nani asomeshe? serikali? kwani serikali pindi wamefunga madirisha yao usiku ilikuwepo?.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".

Sio tatizo lako ila HUJIELEWI.
 
Bora mikopo ifutwe tu maana wazazi wanapozaa, wanategemea nani asomeshe? serikali? kwani serikali pindi wamefunga madirisha yao usiku ilikuwepo?.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".

Kadakabikile unaweza kuwa fisadi. Fikiri kabla ya kuropoka,sio watanzania wate wanauwezo wa kumudu hizo gharama.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…