donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Wazazi wa dot com kuweni makini.
Mkuu jina lako mtu ulimi ukiteleza hakawii kutamka ubwabwa ubwabwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazazi wa dot com kuweni makini.
Nahisi mama rwakatare alikufukuza kazi umeamua kumdiss humu. mbona tumepita huko na hizo story zako hsziexist? usitudhalilishe
Pole sana.Niseme tena na kwako,tatizo la watu wengi ni wavivu sana wa kusoma.Shule hizo ni za nosameerf(neno lililogeuzwa makusudi),kwa hiyo hiyo ni agenda yao moja wapo.Mkakati pia wa shule za bweni nyingi zinazopokea watoto wadodo ndio huo, pamoja na kuharibu maadili mengine ya watoto kwa ujumla.Fungua macho uone,umeyafumba, ingawa unadhani unaona!