RIP turkana students who a were traveling back to turkana from Regional term 2B games in kabarnet using AGC LOKICHAR SCHOOL BUS. quick recovery for those that escaped with injuries. So sad.
Basi la AGC Lokichar lapata ajali,wanafunzi wakitoka michezoni Baringo.Inahofiwa kuwa wanafunzi wapatao kumi wamefariki dunia.
Kwa niaba ya MAGUFULI na watanzania wenzangu nawapa pole ndugu zetu wakenya.
Najua rais yuko na shughuli nyingi kuatend hii habari ya kusikitisha.
Wapumzike kwa amani watoto wetu, na waliosalimika Mungu awape uponyaji wa haraka.