pole sana kijana ndo mnadanganyana hapo kichuguuni oh sory hapo mlimani, ingia mtaani uone hali ilivyo tofauti
Kwa mfano nina div 1 ya 3 nataka nisome masomo ya Agriculture unadhani nitaomba UDSM!?
Utaomba Milembe!
Hakuna kilaza UDSM ndugu yangu. Yaani kilaza pale UDSM ni kipanga wa kutupwa akija huko kwenu. Believe me. Na ukitaka kuamini hilo, nenda kaongee na viongozi wa Chuo kama Mzumbe (mfano tu), then wawape enrollnment wale 51 waliofukuzwa UDSM, then utakuja amini maneno yangu. Kilaza wa UDSM ni sawa ni kipanga kwenye Chuo ulichosomea. Na nadiriki kukuambia kwamba mwenye GPA ya First Class (Point 4.4-5.0) kwenye hicho Chuo chako ni sawa na mwenye Upper Second Class wa UDSM tena ya point 3.5. Mimi nakuambia kitu nina uhakika nacho, kwani kwenye industry nimekaa miaka mingi sana na nimekuwa HR wa Taasisi (Public & Private) nyingi sana mpaka leo, hivyo naongea kutokana na uzoefu nilionao.
Namba ujaribu kufanya tafiti na uweze kuona huo ukweli ninaouongelea kama kuna fair ground kati ya hao wawili.
University of Dar es Salaam haina walimu waliotoka vyuo vingine vya ndani, lakini vyuo vyote vya ndani vina walimu waliotoka UDSM. Mia, au Nalog off.
1.Enrolment ya mzumbe ni yale makapi baada ya ile pure crem kuchukuliw udsm
2.cheki wasomi wanaohojiwa na vyombo mbalimbal bbc, dotchwerry nk wanatoka udsm
3.ktk rank ya vyuo vikuu bora afrika udsm iko nafac ya karib, lakin hiyo mzumbe haitambuliki.
4.waajiri wanalia na wafanyakazi walipita vyuo tofaut na udsm.
5.angalia hata pass zenu zinazowaingiza hapo ,ni za chini ukilinganisha na za vijana wa udsm
ooh udsm i lyke u,
niko mtaani kifua mbele dhidi ya hawa waliopitia vyuo vingine mradi tu nao wapate elimu by any means,
narud
naona unaonesha ukilaza wako,.pumba tupu kuwa na walim au kutokua na walim ktoka udhm ina efect gan?
yale matatzo ya vlaza wa udhm nmeya-highlight naona yanazd kujionyesha
Unahitaji kupata elimu ya kujitambua, na huelewi hata unachobishia so unaishia kuattack personality badala ya kujadili hoja na kutoa point zinazotetea unachozungumzia.
Tuache ushabiki, kama wewe ungebahatika kupata Div 1 ya pt 3-7 ungesoma chuo gani? Jijibu kimoyomoyo hafu useme ukweli, tafuta HRs waulize kwenye Database yao chuo gani wanakirank no moja wanapoajiri kutoka vyuoni moja kwa moja.
Kwa taarifa yako ni kozi moja tu hapa Tanzania iliyoweza kushindana na kozi za UDSM, naizungumzia BAF ya Mzumbe. Atleast hii unaweza ukawakuta watu wenye Div 1 ya 3 na 4 wachache. Tofauti na hapo watu wote waliofaulu vizuri wanajiunga UDSM.
Kwa wanaosoma kozi za biashara watanikosoa hapa: UDSM ni chuo ambacho kimekuwa kikiongoza mara nyingi zaidi ya vyuo vingine kwenye mitihani ya NBAA.
BIG 4 (pwc, EY, Deloitte na KPMG) zinaajiri more than 60% kutoka UDSM (hapa nazungumzia vyu vya ndani tu), na haya ni makampuni ambayo sera zao ni kuajiri watu wenye uwezo mkubwa kiakili na matokeo na wanaofundishika kirahisi.
Watu wanawalalamikia sana graduate wa UDSM kwamba ni wasumbufu hasa kwa sababu hawakai sehemu moja kikazi, wako marketable na wanaijua thamani yao.
1.C Muccobs = B Ya UDHakuna kilaza UDSM ndugu yangu. Yaani kilaza pale UDSM ni kipanga wa kutupwa akija huko kwenu. Believe me. Na ukitaka kuamini hilo, nenda kaongee na viongozi wa Chuo kama Mzumbe (mfano tu), then wawape enrollnment wale 51 waliofukuzwa UDSM, then utakuja amini maneno yangu. Kilaza wa UDSM ni sawa ni kipanga kwenye Chuo ulichosomea. Na nadiriki kukuambia kwamba mwenye GPA ya First Class (Point 4.4-5.0) kwenye hicho Chuo chako ni sawa na mwenye Upper Second Class wa UDSM tena ya point 3.5. Mimi nakuambia kitu nina uhakika nacho, kwani kwenye industry nimekaa miaka mingi sana na nimekuwa HR wa Taasisi (Public & Private) nyingi sana mpaka leo, hivyo naongea kutokana na uzoefu nilionao.
Namba ujaribu kufanya tafiti na uweze kuona huo ukweli ninaouongelea kama kuna fair ground kati ya hao wawili.
Mnaboa na haya mabishano yasio na msingi ... Wengine tuko mbele huku tumeona mavyuo ya maana yenye labs zilizokwenda shule kuliko UDSM ambayo kama ukiibeba na kuileta huku haina tofauti na high school. .. mi mdogo wangu wa kike kipindi kile watu wanafanya mtihani ili kuingia chuo alipata UDSM na UDOM... Alipiga chini UDSM na kukimbilia UDOM ... So ni mapenzi ya mtu asome wapi
Sent from my HTC Incredible S using Tapatalk
Kama tulioko udsm ni vilaza,bac vyuo vingne kuna vilaza square..mana vipanga wote tunaopga fresh form 6 tuko udsm, na wachache wako muhimbili..huko kwingne ni makapi tu.
Mdogowako;
Alijua kazi ya kujituma iliyoko palendiyo maana alikimbia mwenyewe. Kwani yeye alitaka sehemu atakayoweza kufanya mzaa lkn akafaulu pia ndiyo maana kakimbilia UDOM. Muulize sasa atakuambia hali yake academically ikoje?
Jiulize swali moja rahisi tu, kama udsm wame-enroll vilaza je vyuo vingine watakuwa wame=enroll watu gani? ukiona mtu kipanga halafu hachagui first choice udsm course ambayo udsm ipoi ujue anafikiri kwa kutumia "Masaburi" huyo