Nyie kwa kulalamika,loh. Kila m2 anakula kwa urefu wa kamba yake. Waache wale kukuz.... mbona sekondar matcha wanalamba madent, ni k2 cha kawaida!
Wanawake ni viumbe dhaifu na ndio maana wanahitaji empowerment.most of the empowerment steps huwa zina-involve udhalilishaji tu
Una bahati wewe! Ungekuwa huku ningetafuta chuo hicho wasomea afu ungefeli tu ka hutaki kunanihii. Maana hao wazee hutaka embe bichi.subhana llah so sad wallah!!! sasa niulize government ya tz inaongozwa kimaadili yote mawili cristian and islam au haina hata moja mana mambo yasingekuwa namna hii mimi huku niliko sikuwahi kuskia mambo kama hayo wallah kwanza beside waalimu wote wa unii ni wazee sasa jamani si kunanihi huku,,,,,,,,,,????
Lakini hao kina dada si ni watu wazima? Sasa kaa mtu anajilengesha mwenyewe hilo ni juu yake. Sasa kama kuna walimu ambao hutaka kupewa ngono ili watoe maksi nzuri hao ni wavunjaji wa miiko ya kazi zao na wanapaswa kuadhibiwa.
Una bahati wewe! Ungekuwa huku ningetafuta chuo hicho wasomea afu ungefeli tu ka hutaki kunanihii. Maana hao wazee hutaka embe bichi.
hee we babu?????
Naam mie babu na bado ni lecturer nafundisha vyuo vingi tu. Ukija huku ntafute PHD yako haitakuwa tabu ati!hee we babu?????
Tehetehteh....Nilham bwana hahaaaa
Naam mie babu na bado ni lecturer nafundisha vyuo vingi tu. Ukija huku ntafute PHD yako haitakuwa tabu ati!
Hata kujipeleka mwenyewe na mwalimu akaku ninihiniya tayari ni kosa la kimaadili katika nchi za nje.
Mwalimu lazima awe na mipaka na nini anafanya na wanafunzi wake hata kama watu wazima