wanafunzi wawili wa kike wanaosoma elimu ya juu chuo kikuu cha udsm na cbe ya dar pamoja na mwanafunzi wa chuo
chuo cha ufundi veta..wamefikishwa katika mahakama ya samora kwa kosa la kujiuuza...miili yao...
katika operation ya inayoendelea wilaya ya kinondoni inasemekana kwamba katika baa ya corner iliyopo sinza maeneo ya
africasana...kuwa katika operation inayoendesha na bwana charles kenyela..ya kuwakamata wanawake ndipo hapo ndipo katika kundi la wakina dada 21...watatu ndo waligundulika ni wanafunzi ...wanafunzi hawa majina yao ni
1.yasinta kilimo umri miaka 21...mwanafunzi wa c.b.e
2.morin masatu...umri miaka 20...mwanafunzi wa udsm
3.na watatu alijulikana kama khadija mwanafunzi wa chuo...veta.
kesi hiyoo...inayoendeshwa ambayo ipo chini ya hakimu william mtaki na muendesha mashitaka john kijumbe...kuwa
watuhumiwa hao wamerudishwa ndani kwa kukosa mdhamana au kulipa faini ya shillingi laki mbili
source:mpekuzi blog,michuzi blog na udaku specialy na watu waliokuwepo mahakamani leo...na kesho huenda ikaandikwa kwenye magazeti.....