Wanafunzi wa Vyuo Wafundishe kwa muda!

Wanafunzi wa Vyuo Wafundishe kwa muda!

Mbona ni wazo zuri, sasa how to implent ndio mgogoro unapoanzia. Pengine ni seme hivi, kujitolea kunategemeana na hali ya kiuchumi mtu aliyonayo. Kama mfukoni sina kabisa cent, nyumbani sijui watakula nini, watoto wataendaje shule, sio rahisi kwenda kufanya kazi isiyo na malipo. huo muda wa ku-volunteer itabidi niutumie kutafuta chochote ili nizibe mapengo yaliyopo kwangu. Nadhani wengi hawapendi kujitolea kutokana na hali za kiuchumi walizonazo
 
wazo zuri ila kama wadau wengi alivyosema ni ngumu sana kwa mtu asiye na kitu kwemda kujitolea. cha kwanza ni kuwa na uhakika na mkate wa kila siku hapo hata dhamira ya kujitolea kama ipo itakuwa hai.

kulipa deni si kazi, ni makubaliano na kiwango wnachokata si kikubwa, mimi nakatwa sh 12,800 kila mwezi na kwa utaratibu huo nitamaliza deni langu baada ya miaka 7 au 8 ijayo. kila aliye na kibarua akilipa nadhani inaweza saidia kama kuna utaratibu mzuri basi wanaosoma itawasaidia kupunguza usumbufu
 
wazo zuri ila kama wadau wengi alivyosema ni ngumu sana kwa mtu asiye na kitu kwemda kujitolea. cha kwanza ni kuwa na uhakika na mkate wa kila siku hapo hata dhamira ya kujitolea kama ipo itakuwa hai.

kulipa deni si kazi, ni makubaliano na kiwango wnachokata si kikubwa, mimi nakatwa sh 12,800 kila mwezi na kwa utaratibu huo nitamaliza deni langu baada ya miaka 7 au 8 ijayo. kila aliye na kibarua akilipa nadhani inaweza saidia kama kuna utaratibu mzuri basi wanaosoma itawasaidia kupunguza usumbufu


Ndio maana mimi naona kwa wale wote waliokopa kusoma kwa mkopo, serikali isiwalipishe na badala yake wakafundishe parttime mashuleni masaa ambayo yatahesabika kwa kipindi ambacho majumuisho yake yatalingana na gharama alizokopa.

yani kuwe na option mbili umesoma kwa mkopo ndiyo basi-
1. ufundishe part time ikiwa moja ya njia ya kulipa mkopo
2. kama sio basi ukatwe fedha zako za mshahara kulipa mkopo.
Nafikiri kwa njia hii itafanikiwa .Lakini kujitolea kama kujitolea ni wachache sana sisi asili yetu tunapenda starehe na pia tu masikini.
 
Back
Top Bottom