The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,574
- 10,598
😁😁😁😁😁Tanzania ni Nchi yanguUzae watoto kama simbilisi usubiri wizara ya elimu, ije kufanya nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁😁😁Tanzania ni Nchi yanguUzae watoto kama simbilisi usubiri wizara ya elimu, ije kufanya nini?
😁😁😁😁😁 Tanzania ni nchi yangu..Kujilipa mishahara posho kutembelea ma veiteee na sio kuwahudumia wapuuzi masikini kama wewe
Daaah machozi yamenitoka.Kila mtu asali kwa imani yake labda na sisi tunaweza kuyaendesha kwa MunguKujilipa mishahara posho kutembelea ma veiteee na sio kuwahudumia wapuuzi masikini kama wewe
Mimi nilishajiuliza maswali mengi sana angalau hata angepewa kitila mkumbo au January Makamba wako Creative huyu mama amna kitu kabisaHivi yule mama kigezo gani kimesaidia walau kumrudisha kwenye Wizara ya Elimu!?
Acheni Kumsukumizia lawama Waziri Profesa Ndalichako leo hii na ukweli ni kwamba Elimu ya Tanzania ipo Kaburini tokea mwaka 2005 hadi sasa.Jamani wana jamvi nimejiuliza maswali mengi kuhusiana hili janga la wanafunzi kukosa madarasa kwa ajili ya kujiunga kidato cha kwanza nimebaki najuliza majukumu ya wizara kwa sasa ni kutanga matokeo ya mitihani ya kitaifa tuu na ufanyikaje wake?...
Mimi najiuliza hivi:Jamani wana jamvi nimejiuliza maswali mengi kuhusiana hili janga la wanafunzi kukosa madarasa kwa ajili ya kujiunga kidato cha kwanza nimebaki najuliza majukumu ya wizara kwa sasa ni kutanga matokeo ya mitihani ya kitaifa tuu na ufanyikaje wake?...
Hapo tunadanganyana ndugu,unaweza kupredict Ila maafisa takwimu wavivu tu, kwa mfanoWazazi wanatotoa kila siku huwezi pia huwezi Kujua idadi ya watakaofaulu mitihani sababu kufaulu sio predictable
Tunafuata tamko la rais, tunafyatuana kweli kweli. Au ninasema uongo ndugu zangu?Wazazi wanatotoa kila siku huwezi pia huwezi Kujua idadi ya watakaofaulu mitihani sababu kufaulu sio predictable
Naona linachukuliwa kama swala la mlipuko hivi.Kwani swala la kuongezeka kwa wanafunzi ni la ghafla!? Mbona tunafanywa mazuzu kiasi hiki!?
Hufai kabisa kuwa afisa takwimu huyo afisa elimu kata hana uwezo huo Watoto wakifaulu hawapangiwi shule za secondary za kama yake tuhupangiwa me hata ya kama zao au hata za Bweni mikoa mingineHapo tunadanganyana ndugu,unaweza kupredict Ila maafisa takwimu wavivu tu, kwa mfano...
Kama covid 19Naona linachukuliwa kama swala la mlipuko hivi.