Wanafunzi Waliohitimu kidato cha sita Mwaka 2022 waitwa JKT

Nali aliwahi kukwama popote kwa kutokwenda JKT kwa mujibu wa Sheria?
Hii nikwaajili ya manufaa ya muendaji mwenyewe sidhani kama muhusika hataki kwenda atalazimishwa.
Kwa Dunia ya Sasa yenye ushindan na ajira chache na kisomo cheti Cha white collar jobs ni bora uende Ili uongeze nafasi Yako ya kuajiriwa hyko mbeleni.. kuanzia kwwnye majeshi na zipo ajira zingne wanatoa kipaumbele Kwa waliopita jeshini.
Kumbuka ajira za majeshi mwaka huu walitoa kigezo Cha kupitia JKT, ambao hawakupita waliachwa pemben.
 
Mbona karibu mno siku ya kureport!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…