Wanafunzi wawa trafic

Luushu

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2012
Posts
816
Reaction score
477
Leo kwenye kivuko cha wenda kwa miguu barabara ya Kawawa maeneo ya moroko na kanisani kuna wanafunzi wameshika vibango wanasimamisha magari watu wavuke
 
Wako kwenye mafunzo ya matumizi ya barabara, hasa vivuko
 
Ni kawaida hapa moro s/m msamvu nyakati za asubuhi
 
Leo kwenye kivuko cha wenda kwa miguu barabara ya Kawawa maeneo ya moroko na kanisani kuna wanafunzi wameshika vibango wanasimamisha magari watu wavuke

wanafanya elimu kwa vitendo kwa kuwa wengi wa waendesha magari hawaeshimu uwepo wa vivuko
 
mimi nilichoona na kugundua ni kuwa madereva wa hapa Tanzania hawawaheshimu kabisa waenda kwa miguu .wana roho mbaya sana tena sana maana akikuona upo kwenye zebra ndio anaongeza speed ili akukute akugonge. Its shame
 
mimi nilichoona na kugundua ni kuwa madereva wa hapa Tanzania hawawaheshimu kabisa waenda kwa miguu .wana roho mbaya sana tena sana maana akikuona upo kwenye zebra ndio anaongeza speed ili akukute akugonge. Its shame

....Imetokea hapo Morocco leo, gari ndogo rangi ya ugoro (aina inaelekeana na vista) haikuheshimu kibao cha simama kilichokuwa kimeshikwa na mwanafunzi, dereva alimpita na akakatiza kituo cha mafuta kufuata njia ya Mwenge.
Japo hakumgonga mwongozaji, inadhihirisha ni namna gani wengi wa madereva hapa bongo hawaheshimu watumiaji wengine wa barabara.
 
Mkuu thread inaongelea Morocco na sio Morogoro.

Naye anatoa experience yake ya Mororogoro karibu na shule ya msingi Msanvu. Hiyo ni project iliyoanzishwa na jeshi la polisi baada ya kugundua kwamba wanafunzi wanagongwa mara kwa mara.
 
Naye anatoa experience yake ya Mororogoro karibu na shule ya msingi Msanvu. Hiyo ni project iliyoanzishwa na jeshi la polisi baada ya kugundua kwamba wanafunzi wanagongwa mara kwa mara.

Asante, Nimekusoma Mkuu.
 
Hata kwetu Tabora utaratibu ni Huo kwa shule za Msing za Town
 
Hata Liwiti s/m tabata wapo trafic policemen watoto asubuhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…