Wanafunzi wawili wafari kwenye machafuko iaa

R-CHUGA

Member
Joined
Mar 23, 2012
Posts
77
Reaction score
8
Habari nilizopata hivi punde ni kwamba wanafunzi wawili wasichana wamefariki dunia kutokana na mshituko walioupata wakati mabomu ya machozi yaliokuwa yakipigwa ndani ya chuo cha uhasibu.
 
Hapo LEMA na chadema wanahusika tena au poliCCM?hivi CDM imuue mwanafunzi ili ipate nini haswa?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hakujawahi kuwa na historia ya watu kufa kutokana na mshituka wa mabomu ya machozi. Afterall mabomu ya machozi yenyewe hayana mashindo mkubwa wa kuweza kusababisha mshituko wa kusababisha mauti hata kama mtu angekuwa na BP. Otherwise, kama mabomu hayo yaliwalenga moja kwa moja na kuwadhuru kama ilivyotokea kwa Mwangosi (RIP).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…