Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,375
- 6,958
Waandshi wetu wa habari wamenishangaza kweli kwa hatua yao ya kukaa kimya dhidi ya tuhuma kuwa wanakula rushwa kwa ujumla wao tuhuma zilizotolewa na raisi wa Tanzania ndugu Kikwete. Yaani huwezi amini zaidi ya mzee Ndimara Tegambwage kunung'unika kidogo, wengine woote wamekaa kimya kama vile hawakusika kilichosemwa juu yao!
Sasa cha ajabu, Mzee Mkapa nae karudia hayo hayo akiwa nchi jirani ya Kenya ila yeye katumia lugha ya kiungwana kidogo kwa kusema waandishi wa Tanzania hwana uzalendo na hawana uelewa wa mambo kabisa, yaani kwa mambo ambayo hata wanayauliza?!..........Lolo! waandishi wamechachamaa, sasa wanampelekea mashambulizi makali Mkapa...
Hii inakuwaje?... waandishi wa Tanzania wanamuogapa JK? Au wanasubiri nae astaafu?, au ni kweli kawapa rushwa ili wasimuandame?
Sasa cha ajabu, Mzee Mkapa nae karudia hayo hayo akiwa nchi jirani ya Kenya ila yeye katumia lugha ya kiungwana kidogo kwa kusema waandishi wa Tanzania hwana uzalendo na hawana uelewa wa mambo kabisa, yaani kwa mambo ambayo hata wanayauliza?!..........Lolo! waandishi wamechachamaa, sasa wanampelekea mashambulizi makali Mkapa...
Hii inakuwaje?... waandishi wa Tanzania wanamuogapa JK? Au wanasubiri nae astaafu?, au ni kweli kawapa rushwa ili wasimuandame?