Wanahabari wanaodaiwa kuvujisha Video ya Rais Salva Kiir akitokwa haja ndogo wakamatwa

Wanahabari wanaodaiwa kuvujisha Video ya Rais Salva Kiir akitokwa haja ndogo wakamatwa

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Kiongozi wa Muungano wa Waandishi wa Habari wa nchini humo, Patrick Oyet, ameripoti kuwa Wanahabari 5 wanashikiliwa na Idara ya #UsalamawaTaifa kuanzia Januari 3 na mmoja kuanzia Januari 4, 2023.

Shirika la Uangalizi wa Waandishi wa habari la Committee to Protect Journalists (CPJ) limetoa wito wa kuachiliwa kwa Wanahabari hao wanaofanya kazi na Kituo cha Utangazaji cha Sudan Kusini cha #SSBC, bila masharti.
Elijah Alier, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vyombo vya Habari na Mdhibiti Kisheria, alipopigiwa Simu alikataa kutoa maoni yake, akisema yuko nje ya ofisi.

Wanahabari hao wanachunguzwa kwa madai ya kuvujisha Video iliyosambazwa Mitandaoni Desemba 2022 ikimuonesha Rais #SalvaKiir akitokwa na haja ndogo hadharani, ingawa SSBC haikuonesha Video hiyo kwenye chaneni zake.

FlzZFHjWQAAZACz
====================

A journalists' union in South Sudan confirmed on Friday that six staffers with the national broadcaster have been detained in connection with footage apparently showing the country’s president urinating on himself during an event.

The South Sudan Broadcasting Corporation footage aired in December and was widely shared online. It showed 71-year-old President Salva Kiir standing during the national anthem and then looking down at what appeared to be a spreading stain before the camera turned away.

The Union of Journalists of South Sudan called for a speedy conclusion to the investigation into the staffers who it said are in the custody of the National Security Service (NSS). In a statement, the union said the staffers are suspected of having knowledge of the public release of “a certain footage.”

Calls to the NSS were not answered. Officials with the president’s office, and the national broadcaster refused to comment.

Kiir has been South Sudan’s only president since the country won independence from Sudan in 2011. The presidential election was recently postponed again, this time to late 2024, amid the slow implementation of a 2018 peace deal ending a five-year civil war.
 
Kiongozi wa Muungano wa Waandishi wa Habari wa nchini humo, Patrick Oyet, ameripoti kuwa Wanahabari 5 wanashikiliwa na Idara ya #UsalamawaTaifa kuanzia Januari 3 na mmoja kuanzia Januari 4, 2023.

Shirika la Uangalizi wa Waandishi wa habari la Committee to Protect Journalists (CPJ) limetoa wito wa kuachiliwa kwa Wanahabari hao wanaofanya kazi na Kituo cha Utangazaji cha Sudan Kusini cha #SSBC, bila masharti.
Elijah Alier, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vyombo vya Habari na Mdhibiti Kisheria, alipopigiwa Simu alikataa kutoa maoni yake, akisema yuko nje ya ofisi.

Wanahabari hao wanachunguzwa kwa madai ya kuvujisha Video iliyosambazwa Mitandaoni Desemba 2022 ikimuonesha Rais #SalvaKiir akitokwa na haja ndogo hadharani, ingawa SSBC haikuonesha Video hiyo kwenye chaneni zake.

FlzZFHjWQAAZACz
====================

A journalists' union in South Sudan confirmed on Friday that six staffers with the national broadcaster have been detained in connection with footage apparently showing the country’s president urinating on himself during an event.

The South Sudan Broadcasting Corporation footage aired in December and was widely shared online. It showed 71-year-old President Salva Kiir standing during the national anthem and then looking down at what appeared to be a spreading stain before the camera turned away.

The Union of Journalists of South Sudan called for a speedy conclusion to the investigation into the staffers who it said are in the custody of the National Security Service (NSS). In a statement, the union said the staffers are suspected of having knowledge of the public release of “a certain footage.”

Calls to the NSS were not answered. Officials with the president’s office, and the national broadcaster refused to comment.

Kiir has been South Sudan’s only president since the country won independence from Sudan in 2011. The presidential election was recently postponed again, this time to late 2024, amid the slow implementation of a 2018 peace deal ending a five-year civil war.
Kikubwa hapo tujue, alijikojolea kweli au walicrop hakujikojolea?

Tangia lini camera ya video ikawa na macho?

Hapo wa kulaumiwa ni daktari wake kutokumshauri tiba ya tatizo hilo.

Hata hivyo, kijana mdogo wa miaka 71 inakuwa tayari screw zake zilishatrade!

Je akifikisha umri wa utu uzima kama Alhaji Mwinyi itakuwaje, walinzi wake si watakuwa wanambebea pot kabisa kila kona anakokwenda!
 
Kikubwa hapo tujue, alijikojolea kweli au walicrop hakujikojolea?

Tangia lini camera ya video ikawa na macho?

Hapo wa kulaumiwa ni daktari wake kutokumshauri tiba ya tatizo hilo.

Hata hivyo, kijana mdogo wa miaka 71 inakuwa tayari screw zake zilishatrade!

Je akifikisha umri wa utu uzima kama Alhaji Mwinyi itakuwaje, walinzi wake si watakuwa wanambebea pot kabisa kila kona anakokwenda!

Alijikojolea sio utani
 
Kiongozi wa Muungano wa Waandishi wa Habari wa nchini humo, Patrick Oyet, ameripoti kuwa Wanahabari 5 wanashikiliwa na Idara ya #UsalamawaTaifa kuanzia Januari 3 na mmoja kuanzia Januari 4, 2023.

Shirika la Uangalizi wa Waandishi wa habari la Committee to Protect Journalists (CPJ) limetoa wito wa kuachiliwa kwa Wanahabari hao wanaofanya kazi na Kituo cha Utangazaji cha Sudan Kusini cha #SSBC, bila masharti.
Elijah Alier, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vyombo vya Habari na Mdhibiti Kisheria, alipopigiwa Simu alikataa kutoa maoni yake, akisema yuko nje ya ofisi.

Wanahabari hao wanachunguzwa kwa madai ya kuvujisha Video iliyosambazwa Mitandaoni Desemba 2022 ikimuonesha Rais #SalvaKiir akitokwa na haja ndogo hadharani, ingawa SSBC haikuonesha Video hiyo kwenye chaneni zake.

FlzZFHjWQAAZACz
====================

A journalists' union in South Sudan confirmed on Friday that six staffers with the national broadcaster have been detained in connection with footage apparently showing the country’s president urinating on himself during an event.

The South Sudan Broadcasting Corporation footage aired in December and was widely shared online. It showed 71-year-old President Salva Kiir standing during the national anthem and then looking down at what appeared to be a spreading stain before the camera turned away.

The Union of Journalists of South Sudan called for a speedy conclusion to the investigation into the staffers who it said are in the custody of the National Security Service (NSS). In a statement, the union said the staffers are suspected of having knowledge of the public release of “a certain footage.”

Calls to the NSS were not answered. Officials with the president’s office, and the national broadcaster refused to comment.

Kiir has been South Sudan’s only president since the country won independence from Sudan in 2011. The presidential election was recently postponed again, this time to late 2024, amid the slow implementation of a 2018 peace deal ending a five-year civil war.
Wawe wanavalisha ma daiper kama Ile ya Biden alivoinama ikaibuka juu
 
Alijikojolea sio utani
Dah! Sasa walitaka mpiga picha muda gani akikate hicho kipande cha video?

Kama wanavyosema alikuwa akipokea heshima za kijeshi na wimbo wa taifa ukiunguruma na tukio likioneshwa live.

Lawama kwa presenter inatokea wapi?
Wa kusulubisha hapo ni daktari wake.
 
Kirr anaumwa hilo halina mjadsla lakini miafrika wakati mwingine unashangaa

Huyu anajua kuwa mkojo hawezi kuumudu ukitaka kutoka
Sasa Rais mzima mwenye kila kitu diapers ilimshinda kuvaa au alikaidi ?

Wakati aliporekodiwa mbona walianza kuwauwa waandishi ila sasa wanatuambia wamewakamata which is which?
 
Back
Top Bottom