JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 685
- 1,124
Waandishi wa habari huwa hawatetei maslahi ya moja kwa moja, kisekta, binafsi au yanayowagawa watu
Kama wataenda kinyume basi wataishia kuvuka mipaka, kuweka rehani uhuru wao na kuwafanya wasomaji/wasikilizaji kutokuwa na imani na kazi yao ambayo wanaihusisha na uhuru wao
Upvote
0