Wanahabari wanapaswa kutetea nini katika kazi zao

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124


Waandishi wa habari huwa hawatetei maslahi ya moja kwa moja, kisekta, binafsi au yanayowagawa watu

Kama wataenda kinyume basi wataishia kuvuka mipaka, kuweka rehani uhuru wao na kuwafanya wasomaji/wasikilizaji kutokuwa na imani na kazi yao ambayo wanaihusisha na uhuru wao
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…