kavulata JF-Expert Member Joined Aug 2, 2012 Posts 13,778 Reaction score 14,214 Apr 6, 2021 #1 Jamani kitimtim tumekiona wote kundi la wanaojiita wanaharakati huru wakifanya yao kuunga juhudi na kushambulia watu kwa mdomo. Je, bado wanaharakati wa kiwango kile wanayo nafasi kwenye zama hizi?
Jamani kitimtim tumekiona wote kundi la wanaojiita wanaharakati huru wakifanya yao kuunga juhudi na kushambulia watu kwa mdomo. Je, bado wanaharakati wa kiwango kile wanayo nafasi kwenye zama hizi?
Kijogoodi JF-Expert Member Joined Mar 29, 2021 Posts 1,362 Reaction score 2,373 Apr 6, 2021 #2 kavulata said: Jamani kitimtim tumekiona wote kundi la wanaojiita wanaharakati huru wakifanya yao kuunga juhudi na kushambulia watu kwa mdomo. Je, bado wanaharakati wa kiwango kile wanayo nafasi kwenye zama hizi? Click to expand... Waonye maana wamepora kazi ya MATAGA
kavulata said: Jamani kitimtim tumekiona wote kundi la wanaojiita wanaharakati huru wakifanya yao kuunga juhudi na kushambulia watu kwa mdomo. Je, bado wanaharakati wa kiwango kile wanayo nafasi kwenye zama hizi? Click to expand... Waonye maana wamepora kazi ya MATAGA
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Apr 6, 2021 #3 Habibu Mchange!
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Apr 6, 2021 #4 Kijogoodi said: Waonye maana wamepora kazi ya MATAGAView attachment 1745376 Click to expand... Lisu usituvurugie umoja wetu!
Kijogoodi said: Waonye maana wamepora kazi ya MATAGAView attachment 1745376 Click to expand... Lisu usituvurugie umoja wetu!
King Kong III JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 56,205 Reaction score 79,515 Apr 6, 2021 #5 Mwanaharakati Huru Mkuu Musiba amepotea kwenye ramani.
kavulata JF-Expert Member Joined Aug 2, 2012 Posts 13,778 Reaction score 14,214 Apr 7, 2021 Thread starter #6 King Kong III said: Mwanaharakati Huru Mkuu Musiba amepotea kwenye ramani. Click to expand... Wengi tumepigwa bumbuwazi na ghafla hii.
King Kong III said: Mwanaharakati Huru Mkuu Musiba amepotea kwenye ramani. Click to expand... Wengi tumepigwa bumbuwazi na ghafla hii.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Apr 7, 2021 #7 Kila zama hawakosekani binadamu kama hao...