Wanaharakati na wana CHADEMA wamemtelekeza Mbowe

Wanaharakati na wana CHADEMA wamemtelekeza Mbowe

Kajeba

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2020
Posts
1,057
Reaction score
2,364
Igweeeee

Kuna kipindi hawa wanaharakati wa mitandaoni walijaribu kuiaminisha jamii kwamba wakikomalia jambo lazima walifanikishe lakini sijawahi kuona mafanikio yao tangu maandamano ya mange kimambi, kumdisqualify diamond, na sasa Mbowe si gaidi

Hao wanachama wa chadema ndio kwisha kabisa kwani kila wanalolipanga huishia kuwa ni aibu,, watu waandame hawataki, watu wajitokeze mahakamani nako pia hawataki

Kwa sasa wamefail tena katika hili la Mbowe si gaidi na wameamua kumtelekeza rasmi huku wakijifanya wao ndio wanaMungu pekee wamemtwisha zigo kana kwamba watanzania wengine hawana Mungu

Tuliwaonya mapema, siasa za mitandaoni hazilipi! mtu yupo kwa mabeberu amshawishi mtu wa vingunguti kuandamana hii haiwezekani!
Siasa na harakati zinawahitaji muingie field, ona sasa Mwenyekiti katelekezwa sasa hakuna kinachoendelea kama chama kumpigania. wooote kimyaaaaa imebaki jamhuri tu ndiyo inaunguruma
 
Mbowe naye aliwatelekeza walipokuwa na kesi,mbwa kala mbwa

USSR
 
Wapinzani ( hasa wana CHADEMA ) pamoja na Wanaharakati Tanzania Moto wao juu ya Jambo fulani huwa nj wa Wiki Mbili tu na baada ya hapo kuna Matukio mengine makubwa ya Kuhamisha Fikra za Watanzania hubuniwa ( huibuliwa ) na Kulisahaulisha Jambo lao.
 
Upinzani bado sana Tanzania, hawajui wanasimamia nini na kwa dira gani. Wameshapoteza ramani.
 
Unataka wote wajipeleke gerezani kumuunga mkono MBOWE?

Gerezani sio sehemu ya kufanyia maigizo
Mnyika alitoa wito wanachadema wamtafute Mbowe popote alipo wamrudishe Ufipa.

Mmeambiwa yuko Segerea. Kwa nini mmeshindwa kwenda kumtafuta Segerea mmrudishe Ufipa kama alivyoelekeza Mnyika. Mmegomea?
 
Sio wamemtelekeza ,Zigo la Mbowe ni zito ,serikali wanatafuta njia ya kujipapatua,ushahidi wote ni dhaifu ,kwa taarifa mahakimu wameteta pembeni hakuna kesi pale na haiungiki kutoa hukumu kwa mbowe labda ilazimishwe na niaibu kwani kesi huwa na rekodi za kimataifa hasa kwa majaji wenye weledi wa kazi zao,
waliomshitaki Mbowe wanapanga na kupangua kila siku wanakuja na jipya na kufuta la zamani.
 
Back
Top Bottom