Wanaharakati ndio walio leta Uhuru wa Tanganyika

Wanaharakati ndio walio leta Uhuru wa Tanganyika

May Day,
Mimi si kama najipigia zumari yaani "blowing my own trumpet."

Hii historia naijua vizuri sana kwa kuwa nimeishi ndani yake.

Tabu sana kwa mtu kushindana na mimi katika historia ya TANU na historia ya uhuru wa Tanganyika akanishinda.

Wakati mwingine hufupisha majibu kwa kuchelea kuwachosha wasomaji wangu.



Sent using Jamii Forums mobile app
Sipingani na unavyosema Mzee Said, ila kwa yale nisiyokubaliana na wewe kwenye historia ya TAA na baadae TANU yatabaki pale pale...na wala sitarajii kubadilisha msimamo wangu.
 
Sipingani na unavyosema Mzee Said, ila kwa yale nisiyokubaliana na wewe kwenye historia ya TAA na baadae TANU yatabaki pale pale...na wala sitarajii kubadilisha msimamo wangu.
May Day,
Huko peke yako katika wasioikubali yale niliyoandika kuhusu Abdul Sykes na ndiyo maana alifutwa kabisa katika historia ya TANU lau kama kadi yake ilikuwa no. 3 na ni yeye aliyempokea Nyerere na akaishinae nyumbani kwake.

Historia ya TANU ikaandikwa na hakutajwa popote.

Hakuna kilichobadilika hadi leo.
Kwangu hili halinitaabishi.

Hata kama utabadilisha msimamo wako mimi kwangu hakuna kitakachobadilika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom